Mkopo wa haraka

Mkopo wa haraka

collimore

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
28
Reaction score
1
Nahitaji mkopo wa haraka wa 250,000 Tshs nitarudisha na riba baada ya wiki 2.

Dhamana ni simu Samsung galaxy s5 yenye thamani ya 600,000 Tshs.
 
Ongeza dhamana uje uchukue pesa hapa Mwenge
 
huna ndugu, jamaa, marafiki, majirani, wafanyakazi wenzio, hadi uje ukope jamiiforums.

nahisi upepo wa utapeli na uzurumati unapita humu
 
Nataka ulete hiyo simu na kitu kingine ili ukumbuke kurudisha pesa na kuchukua vitu vyako kusiwe na mazingira ya kuniuzia,kwasababu simu tu unaweza kuamua kuniachia hasa ukikosa pesa
 
Thanks wakuu nimefanikiwa...... mfudu simu ya milion moja kwa 250,000.!!!
 
Last edited by a moderator:
Nahitaji mkopo wa haraka wa 250,000 Tshs nitarudisha na riba baada ya wiki 2.

Dhamana ni simu Samsung galaxy s5 yenye thamani ya 600,000 Tshs.
Unaposema samsung galaxy s5 yenye thamani ya laki 6 una maana gani. Actually s5 ni milioni 1 na laki 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom