Kama Upo Dar, nenda sinza mapambano, jengo la Mwanamboka kuna ofic zinaitwa EFL wanatoa mikopo ya haraka kwa riba ya 10% kwa mwezi
-Watahitaji kupajua nyumbani kwako
- Kadi ya gari
- sometimes bank statement yk/ km ni muajiriwa ni rahis zaidi kupata
Mimi ilinichukua 8 hrs kupata mkopo......wapo organised and professional