jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Nahitaji mkopo wa haraka wa Tsh mil 3, riba na utaratibu wa marejesho ni makubaliano yangu na mkopeshaji. Dhamana naweka gari yangu yenye usajili namba D. Napatikana Dar es Salaam.
Kwa anayehusika tuwasiliane kwa PM tafadhali.
Wasalaam.
Kwa anayehusika tuwasiliane kwa PM tafadhali.
Wasalaam.