Salaam zenu wana jf,Mimi ni mfanyabiashara mdogo namiliki lodge ila nilikuwa nahitaji mkopo wa kumalizia lodge yangu nyingine.
Naomba mwenye uelewa wa bank nzuri inayotoa mikopo kwa riba nafuu au kama mabanker au loan officers umu ni pm.
Nilikuwa kama sole proprietor ila kwa sasa nimefungua kampuni ila ina miezi miwili,kwaiyo nimebadilisha kutoka sole proprietorship to company. Hapo imekaaje kiongozi?
Nilikuwa kama sole proprietor ila kwa sasa nimefungua kampuni ila ina miezi miwili,kwaiyo nimebadilisha kutoka sole proprietorship to company. Hapo imekaaje kiongozi?