ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
umevimba tenzi haliumi hata nikilibinya sana sihisi chochote nikiuinamisha mkono ndo linatokeza kama gololi mkono ukiwa kawaida linaonekana kwa mbali
hospitali wamesema ni operashen ila niliache likuwe kidogo natafuta tiba mbadala kama linaweza kuisha bila ya oparesheni kwa yeyote anayejua tiba ya tatizo hili anijulishe natanguliza shukran
nataka kuweka picha lkn nashidwa goja niwasiliane na Mzizi mkavu nitaiweka hivi punde
vvu havipo labda vije baadae
hospitali wamesema ni operashen ila niliache likuwe kidogo natafuta tiba mbadala kama linaweza kuisha bila ya oparesheni kwa yeyote anayejua tiba ya tatizo hili anijulishe natanguliza shukran
nataka kuweka picha lkn nashidwa goja niwasiliane na Mzizi mkavu nitaiweka hivi punde
vvu havipo labda vije baadae