Mkoloni wetu CCM anaaga dunia

Status
Not open for further replies.

Rev. Mtikila

R I P
Joined
Dec 1, 2008
Posts
3
Reaction score
34
Wana Jamii Jana nilifanya mkutano na waandishi nimeona niwapatie ujumbe mzito juu ya hatima ya nchi hii.
Rev C Mtikila

 

Attachments

haaa haaa

Shikamoo Mchungaji .... kumbe na wewe umo humu lakini hauvumi

asante kwa makala yako nzuri
 
Hili chapisho sijui kama lilipendwa na watawala...
 
Lakini kwa hili la magufuri kasema kweli.!
 
Mhuuuuu.....Bwana alitoa na Bwana anetwaa na jina lake lihidimiwe. Amina.
 
Mchungaji katoa WOSIA wake. Mwenye kuukubali au kuukataa atajua yeye mwenyewe. Mungu ampe kheri ya milele kule aliko tangulia.
 
Bandiko zuri sana la Marehemu Mtikila, maneno ya shujaa, kinara wa mageuzi Tanzania. Asante baba Mtikila, uliotuacha tunaendeleza kazi yako la kumchinja mkoloni ccm na kumwondoa fisadi Magufuri. Pumzika kwa amani
 
Nilishangaa mwishowe akawa upande wa Magufuli!!!

Apumzike kwa amani amezimika kama mshumaa!!!

Duh!
Marehemu alikuwa napiga kotekote!

Hii mbona hamuijadili? au chungu?
Reverend alikuwa na staili yake ya kupiga mishare mwituni,then anatega..Maana baada ya kufyatua hili bomu lumumba walimfata wakampa gawio lake,wakamwambia ageuze fataki kuelekea ukawa..and yes,He did it! Anyway,Mungu amrehemu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…