GE2025 Mkoa wa Pwani: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Pwani: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Pwani. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Pwani una jumla ya majimbo ya uchaguzi (09) ambayo ni
  1. Jimbo la Bagamoyo​

  2. Jimbo la Chalinze​

  3. Jimbo la Kibaha Vijijini​

  4. Jimbo la Kibaha Mjini​

  5. Jimbo la Kisarawe​

  6. Jimbo la Mkuranga​

  7. Jimbo la Rufiji​

  8. Jimbo la Mafia​

  9. Jimbo la Kibiti​

Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > PreGE2025 - Pwani: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Updates (Walioshinda Ubunge Mkoa wa Pwani)

CCM imeshinda majimbo 9 ya uchaguzi.

Majimbo yote ni kama Ifuatavyo;
  1. Jimbo la Bagamoyo - Subira Khamis Mgalu
  2. Jimbo la Chalinze - Ridhiwani Jakaya Kikwete
  3. Jimbo la Kibaha Vijijini - Hamoud Abuu Jumaa
  4. Jimbo la Kibaha Mjini - Silvestry Francis Koka
  5. Jimbo la Kisarawe - Dkt. Seleman Said Jafo
  6. Jimbo la Mkuranga - Abdallah Hamis Ulega
  7. Jimbo la Rufiji - Mohamed Omary Mchengerwa
  8. Jimbo la Mafia - Omari Juma Kipanga
  9. Jimbo la Kibiti - Amina Mussa Mkumba
 
Back
Top Bottom