GE2025 Mkoa wa Mwanza: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Mwanza: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mwanza. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka

Mkoa wa Mwanza una jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi
  1. Jimbo la Nyamagana
  2. Jimbo la Ilemela
  3. Jimbo la Magu
  4. Jimbo la Misungwi
  5. Jimbo la Kwimba
  6. Jimbo la Sengerema
  7. Jimbo la Buchosa
  8. Jimbo la Ukerewe
  9. Jimbo la Sumve

Updates (Walioshinda Ubunge Mkoa wa Mwanza)
CCM imeshinda majimbo yote kama ifuatavyo

John Nzilanyingi (Nyamagana)
Kafiti William (Ilemela)
Eric Shigongo (Buchosa)
Hamis Tabasam (Sengerema)
Dk Sweetbert Mkama (Ukerewe)
Boniventura Kiswaga (Magu)
Cosmas Bulala (Kwimba)
Silvery Luboja (Misungwi)

Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > GE2025 - Mwanza: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom