GE2025 Mkoa wa Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mbeya. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Mbeya una jumla ya Majimbo 8 ya kiuchaguzi, Majimbo hayo ni:

#JimboMbungeChama
1UyoleDkt. Tulia Ackson MwansasuCCM
2Mbeya MjiniPatrick Adkin MwalunengeCCM
3KyelaBaraka Ulimboka MwamengoCCM
4RungweAnthony Albert MwantonaCCM
5MbaraliBahati Keneth NdingoCCM
6Mbeya VijijiniPatali Shida PataliCCM
7LupaMasache Njelu KasakaCCM
8BusokeloLutengano George MwalwibaCCM

Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > PreGE2025 - Mbeya: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom