GE2025 Mkoa wa Lindi: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Lindi: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Lindi. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Lindi una jumla ya majimbo ya uchaguzi (08) ambayo ni
  1. Jimbo la Kilwa Kusini​

  2. Jimbo la Kilwa Kaskazini​

  3. Jimbo la Mtama​

  4. Jimbo la Lindi Mjini​

  5. Jimbo la Mchinga​

  6. Jimbo la Nachingwea​

  7. Jimbo la Liwale​

  8. Jimbo la Ruangwa​


Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > PreGE2025 - Lindi: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Updates (Walioshinda Ubunge Mkoa wa Lindi)

CCM imeshinda majimbo 8 ya uchaguzi.

Majimbo yote ni kama Ifuatavyo;
  1. Jimbo la Kilwa Kusini - Hasnain Gulamabbas Dewji
  2. Jimbo la Kilwa Kaskazini - Kinjekitile Ngombale Mwiru
  3. Jimbo la Mtama - Nape Mosses Nnauye
  4. Jimbo la Lindi Mjini - Mohamed Mussa Utaly
  5. Jimbo la Mchinga - Salma Rashidi Kikwete
  6. Jimbo la Nachingwea - Fadhili Ally Liwaka
  7. Jimbo la Liwale - Eng. Mshamu Ali Munde
  8. Jimbo la Ruangwa - Kaspar Kaspar Mmuya
 
Back
Top Bottom