GE2025 Mkoa wa Kigoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Kigoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka

Mkoa wa Kigoma una majimbo 8 ya uchaguzi
  1. Jimbo la Buyungu
  2. Jimbo la Kasulu Mjini
  3. Jimbo la Kasulu Vijijini
  4. Jimbo la Kigoma Kaskazini
  5. Jimbo la Kigoma Kusini
  6. Jimbo la Kigoma Mjini
  7. Jimbo la Buhigwe
  8. Jimbo la Muhambwe

Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > GE2025 - Kigoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom