GE2025 Mkoa wa Kagera: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Kagera: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka

Mkoa wa Shinyanga una jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi:
  1. Jimbo la Karagwe
  2. Jimbo la Bukoba Vijijini
  3. Jimbo la Bukoba Mjini
  4. Jimbo la Muleba Kaskazini
  5. Jimbo la Muleba Kusini
  6. Jimbo la Biharamulo
  7. Jimbo la Ngara
  8. Jimbo la Kyerwa
  9. Jimbo la Nkenge

Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > GE2025 Kagera: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom