GE2025 Mkoa wa Dodoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

GE2025 Mkoa wa Dodoma: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Dodoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Dodoma una jumla ya Majimbo 10 ya kiuchaguzi yaliyogawanyika katika wilaya 8, Majimbo hayo ni:
  1. Kondoa
  2. Kondoa Mjini
  3. Mpwapwa
  4. Kibakwe
  5. Kongwa
  6. Chamwino
  7. Mvumi
  8. Dodoma Mjini
  9. Bahi
  10. Chemba
Matokeo ya ubunge katika majimbo yote ya mkoa wa Dodoma
  • Bahi – Dodoma – Kenneth Mollo – CCM
  • Chamwino – Dodoma – Deogratius John Ndejembi – CCM
  • Mvumi – Dodoma – Livingston Lusinde – CCM
  • Chemba – Dodoma – Kunti Yusuph Majala – CCM
  • Dodoma Mjini – Dodoma – Paschal Inyasa Chinyele – CCM
  • Mtumba – Dodoma – Anthony Peter Mavunde – CCM
  • Kondoa Vijijini – Dodoma – Ashatu Kachwamba Kijaji – CCM
  • Kondoa Mjini – Dodoma – Mariam Ditopile Mzuzuri – CCM
  • Mpwapwa – Dodoma – George Matany Malima – CCM
Kupata matukio ya nyuma kabla ya siku ya Uchaguzi soma > PreGE2025 - Dodoma: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom