Ushauri mzuri japo nadhani alishaivuka hiyo hatua. Maombi ili aondokane na hiyo dhamira yake ovu yanaweza kusaidia. Dunia hiiKila la kheri mkuu, lakini una hiari ya kuishi bila mapenzi...Si lazima.
Mambo ni magumu sana kwa hali ya sasa. Mungu Atusaidie na kutupa busara na uvumilivuUliwazalo linaweza kuwa kweli, tulia Kwanza kunywa maji mengi hasira zishuke,
Dawa ya mapenzi ya sasa ni kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja akizengua unaenda upande wa pili kujiliwaza,
Ukiwa na mke kuwa pia na nyumba ndogo kupunguza stress.
Kwa sasa usijidanganye kuna mwanamke wa peke yako utakufa siku si zako.
Kweli anahitaji maombi anasuke kutoka katika hayo mawazo.Ushauri mzuri japo nadhani alishaivuka hiyo hatua. Maombi ili aondokane na hiyo dhamira yake ovu yanaweza kusaidia. Dunia hii
Anaogopa maneno ya walimwenguKila la kheri mkuu, lakini una hiari ya kuishi bila mapenzi...Si lazima.
Walimwengu wapo tu, yeye afanye kile kinachompa Amani na furaha.Anaogopa maneno ya walimwengu
It takes a strong person ku ignore maneno ya walimwenguWalimwengu wapo tu, yeye afanye kile kinachompa Amani na furaha.