Mkisikia; Mkazi mmoja mkoani Mwanza amjeruhi vibaya mpenzi wake kwa kisu kisa wivu wa mapenzi mjue ni mimi!

Hii laana imeshaanza kukutafuna, jiandae ki-sawa sawa.

 
una roho ngumu lakini.!?

maana baada ya hilo zoezi utatafutwa na dola,wananchi wenye hasira na pia huenda ukauawa hapohapo

Pia andaa mazingira ya kutokukamatwa wala kushukiwa na abadani mambo yakienda mrama usianze kujichinjachinja kiogaoga huku unalialia..

Maandalizi:
bisu Kali jipya,gloves,mifuko ya plastic,dumping site,ndoo,maji ya kutosha,Omo,nguo za kubadili,simu,hela ya kukutosha

*Pia kabla ya zoezi tembelea wafungwa gerazani na wagonjwa kwenye hospitali ya mkoa...fika na mahakamani

*pia fikiria adhabu ya kitanzi au kifungo cha maisha;marafiki zako,wazazi wako na malengo ulokuwa nayo?

At your own risk




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliwazalo linaweza kuwa kweli, tulia Kwanza kunywa maji mengi hasira zishuke,
Dawa ya mapenzi ya sasa ni kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja akizengua unaenda upande wa pili kujiliwaza,
Ukiwa na mke kuwa pia na nyumba ndogo kupunguza stress.
Kwa sasa usijidanganye kuna mwanamke wa peke yako utakufa siku si zako.
Mambo ni magumu sana kwa hali ya sasa. Mungu Atusaidie na kutupa busara na uvumilivu
 
mimi ni nani hadi niingilie maamuzi yako kila la heri na mafanikio tele ya kugawana majengo ya government na my love wako
 
Kuna njia nyingi za kumuadhibu binadamu ila usidhubutu kutoa uhai wake bora umloge aandamwe na mikosi akipata mimba zotoke au asiweze kutulia na mpenzi mmoja awe ana mangamanga tu ila usitoe uhai wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom