Mkifanya maombi jihadharani kutaja Gadi, Mungu ni God

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
52,367
24,081
Hasaa wale mnaopenda kusali kizungu, maombi mengine hamjibiwi kutokana na kuomba kwenu. Unasikia mtuu dear Gadi, help m uvwxyz Gadi, please dear Gadi.

Maombi mengine mnapeleka kwenye kampuni za walinzi. Mnamaliza mnajua Mungu amewasikia, mnaanza kumlalamikia Mungu hajibu maombi kumbe wewe umejichanganya.

Jitahidini kutaja dear God, Help God, thx God, etc.

Unapanda express ya Kimara unataka ushukie Usalama – Magomeni, yaani Manzese inakuhusu hatakama hujawahi fika utashukia hapo.

Amen, ni tahadhari tu.
 
images (68).jpeg
 
Na watumishi wafikishie ujumbe waache swaga zao badala ya kusema kwa Jina la Yesu wao wanasema katika Chiiina la Yesuu.
 
Na watumishi wafikishie ujumbe waache swaga zao badala ya kusema kwa Jina la Yesu wao wanasema katika Chiiina la Yesuu.
Wasukumaaaa wamenshiindaaa tabiaa mpwaa ngojaa waje wanaamanishaga nn
 
fungua efm usiku mkuu kuna mmjoa wa buzza kwa lulengee hakikisha umeshaka kabla haujamsikia else utacheka turbo litajaa ukaachika maana wengine bila kuonja nyumban wanajua smalllhouse kafanya yake
 
Wewe jamaa sijui umewaza nni?
Watu wanasema "oh my guard" wakiwa na maana "oh mlinzi wangu " sema wewe unasikia " oh my gadi"
Natanguliza shukurani
 
Back
Top Bottom