Mkifanya hivi tutavaa kiheshima

Weka Picha


Najua wewe ni mmoja wa wanaopenda wavaaji hivyo. Ndio ninyi mnaovunja shingo na kujiramba barabarani.

Unajua watu wanavaa hivyo kuwaridhisha maana ndivyo mnavyopenda (baadhi yenu)
 
uuuuuuuuupsi pole yako

WENGINE WANAPENDA WAVAA UCHI....

usichokipenda wewe mwenzio anapenda.....

kikubwa tafuta yule wa kuvaa unavyopenda.


Najua kuwa wapo wengi wanapenda.... ninachotaka waache kelele!
 
Nani atakuwa anahakikisha kuwa mambo haya yote wanaume hawayafanyi?
 
Nani atakuwa anahakikisha kuwa mambo haya yote wanaume hawayafanyi?


Wanawake wanakwenda kwa upepo wa wanaume. Wanaume watakapowakataa wavaa nusu utashangaa wanawake wooote watavaa vizuri.
 
Hutongozwi?

Natongozwa.

Hebu tuliangalie jambo hili kwa upana zaidi. Simaanishi wanaovaa vizuri hawatongozwi. La hasha. Ila wengi wa wanaovaa nusu hulengo kuwapata wanaume ambao watashawishika kwa kuona miili yao; na wanafanikiwa kuwapata na kuwaumiza hata kuwafadhaisha ndio maana kuna malalamiko mengi kuhusu uvaaji. Hii ndio iliyopelekea mimi kushauri kutowafatilia wavaa nusu ili wote wavae vizuri na kutongozwa kuendelee.
 
Kwa hiyo wakiendelea na ninyi mnavaa nusu uchi?
 
tanzania bila wanawake wanaovaa nusu uchi haiwezekani...
 
Kama vipi Tembeeni uchi kabisa, muone kama mtatongozwa .. Baada ya hapo. Mtaacha kuvaa nguo fupi
 
Yani kustiri mwili wako mwenyewe hadi usubiri mtazamo na mwitiko wa watu wengine....!?

Wanawake tujitambue, ukijiheshimu utaheshimika...

Ukivaa hovyo utatongozwa na watu wa hovyo aka hit and run, one night stand n.k.
Ukivaa kiheshima utatongozwa na wenye heshima zao....!

Hivi mwanaume gani anataka mwanamke anayetembeza utamu wake wote nje? Labda kwa ajili ya show off.....!
 

yaani mvae makusudi kisa,mwe!,hapa chapa rapa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…