"Mkichagua wapinzani amani ya nchi itatoweka"

"Mkichagua wapinzani amani ya nchi itatoweka"

Siku moja kabla ya siku ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, nilimpigia simu mother baada ya kuambiwa anawapigia kampeni wagombea wa CCM.

Baada ya salam nilienda moja kwa moja kwenye point.

Sangarara: Vipi maandalizi ya uchaguzi yanaendeleaje huko?

Mother:Yanaendelea vizuri tu.

Sangarara: Nasikia (abc cba) anagombea kwa ticketi ya CHADEMA?

Mother: Ndio

Sangarara: Mtamchagua likini?

Mother: Mi nampigia Kampeni mgombea wa ccm.

Sangarara: Mnh??

Mother: Nampigia Kampeni mgombea wa ccm XYZ mtoto wa mzee ZYX.

Sangarara:Kwa nini

Mother: CHADEMA wakishinda wataleta vita.

Sangarara: Hiyo ni sababu ya kutoichagua CHADEMA, sababu ya kuichagua CCM ni ipi?

Mother: CCM ni chama cha amani na ndio kilichotulea.

Sangarara:Kwani Mbunge wa hapo ni nani?

Mother: Wenje

Sangarara: wa CHAMA gani?

Mother: CHADEMA

Sangarara: Ameleta vita?

Mother : Kimya

Sangarara: na yule wa Ilemela wa CHADEMA ameleta vita?

Mother: Kimya.

Sangarara: Mama!

Mother:Bee mwanangu.

Sangarara:tena nimekumbuka,yule mbunge wa Ilemela alikatwa mapanga na CHADEMA au CCM?

Mother: Kimya

Sangarara: hivi ameishapona.

Mother:Nasikia anaendelea vizuri.

Sangarara: Mimi si unajua niko CHADEMA.

Mother:ndio

Sangarara:Kwa hiyo mimi kwa unavyonifahamu nitaleta vita?

Mother: Hapana.

Sangarara: Sasa mbona unasema CHADEMA italeta vita, au haujui kama CHADEMA ni sisi?

Mother: Kimya.

Sangarara:Kwa hiyo mimi niko huku naangahika kutafuta maisha kumbe mama angu unazunguka mitaani kutangaza mimi nitaleta vita?

Mother: Kimya

Sangarara:Mama?

Mother: Nakusikia mwanangu..

Sangarara: Umenielewa?

Mother: Ndio

Sangarara:Umenielewa nini?

Mother: hizo habari za vita ni uongo tu.

Sangarara: Sawa ngoja nimtafute mgombea wa CHADEMA nimuambie aje akusalimie.

Mother:Mi niko hapa dirishani naona wanajikusanya waende kwenye Kampeni.

Sangarara: Muite niongee nae.

Mother: ABCiiiiiiiiiiiiiiiiiii njoo uongee na ndugu yako hapa.

Mother: anakuja, na haya magwanda yenu haya, sasa mtu anavaa makombati na jua lote hili.

Sangarara:hhahahaaaa hayo ndo kiboko ya CCM na kesho wakijaribu kuiba kura tutawatandika kweli kweli.

Mother:ahhhaaaaa na mjiandae kulinda kura CCM ni wezi sana

Sangarara: hahahahhaahaa yuko wapi ABC

Mother: amezunguka nyuma huku anakuja.

Sangarara:tena umpe kabisa ile sime yangu mtu akileta wizi ni kukata mikono tu haaahahhh


Huu ubunifu wako nimeukubali 100%
 
Jamani mleta mada anataka tujadili hili suala ambalo lilijitokeza sana kwenye chaguzi kama alivyoonyesha, na mmeweza kutoa mifano mizuri ambayo CCM kuitumia tena lugha hii ni ngumu kidogo.

Ni kweli kauli hizi zilikuwa zinatolewa ila wengi mpaka vijijini walikwishajua ni nani mleta fujo na 2010 kura zilishuka na zitaendelea kushuka. Mbona nchi kama Kenya wapinzani walipoingia madarakani hakukuwa na machafuko? Kuna credible documents zinaonesha mfumo wa vyama vingi uliporudi kwenye nchi zilizokuwa za kijamaa mapinduzi ya kijeshi yalipungua sana. Halafu siamini kama machafuko yakitokea ni watoto na wanawake ndio waathirika kwani wanaume wana miili ya chuma au bomu likirushwa kwenye kundi la watoto, wanawake na wanaume, wengine watakufa ila wanaume watabaki.

Kama ndio hivyo kwa nini mwaka 1992 tulirudi kwenye demokrasia ya vyama vingi, na imetamkwa kwenye katiba ya nchi yetu?

Declaration of
multiparty state
Act No.4
of 1992
Art.5
Act No.1
of 2005
Art. 4
3.-(1) The United Republic is a democratic, secular and socialist state
which adheres to multi-party democracy.


Jambo muhimu ni kuielimisha jamii kuhusu katiba ya nchi yetu kwa kuandika makala kwenye magazeti na kuweka vipindi kwenye TV na redio.
 
Nawashangaa sana sisiem! Hawataki kujifunza hata kidogo, wanatakiwa kuanza kujijengea tabia na utaratibu wa mashindano ambayo matokea lazima yawe yakushindwa au kushinda, sasa haya mijitu hawakotayari lushindwa tena hasa zile seheu zenye maslahi yakifedha ndio ujue hawako kwa ajili ya wananchi, sasa pale ndipo umnapotokea vurugu
 
Amani inaletwa na watu na inavunjwa na watu.mimi niwashauli WATANZANIA amani inapatikana kwa gharama! na gharama yenyewe ni kutoa haki na kulinda haki!!! tusitegemee AMANI bila gharama..serikali iwe makini!!!. Nimeshuhudia ma ASKOFU,WABUNGE na MAWAZIRI wakitoa matamko kuwa wananchi wawe makini na watu wanao haribu amani, wengine wamesema watawapigia kura wagombea wanaohamasisha amani.Amani inaletwa kwa utoaji wa haki ndani ya serikali sio unaleta dhuruma,ufisadi,uonezi utegemee amani itakuwepo si kweli!!! NDUGU ZANGU AMANI HAILETWI KWA KUHUBILIWA MAJUKWAANI ILA HUBIRINI HAKI TU!!!
 
Ccm wameshinda miaka yote wapinzani hawajaleta vita iweje leo upinzani uchukue nchi afu vita itokee? Hao Hao ccm ndio wataleta vita
 
Tukiwa tuna kumbukumbu ya chaguzi serekali za mitaa na tukiwa tuaelekea katika uchaguzi mkuu urais wabunge na madiwani tujikumbushe baadhi ya kauli za viongozi wa serekali katika mikutano mbalimbali iwe ya kisiasa ama ya kijamii.

Kauli hii ni ile ya kwamba mukichagua wapinzani amani itatoweka ,tutakuwa kama Rwanda .Somalia na nchi nyingine zilizowahi kuwa na vita.Kauli hii ilikuwa na nguvu sana katika chaguzi za mwaka 1995,2000 na 2005 na dakika za mwisho za uchaguzi 2015.

Hoja hapa ni kwa kiwango gani ni halali kutamka hivyo katika kampeni na mikutano,ya pili hii kauli ina maanisha nani ataanzisha vita?Ukichagua wapinzani CCM itaanzisha fujo ? Inawezekanaje mtu achaguliwe kisha aanzishe vita ?.Hoja ya tatu ni namna gani wapinzani wameweza kuipangua hii hoja maana ndio hoja kuu ya kuwamaliza,Ama nisadiki kuwa wapinzani wataleta shida?

Nasubiri miezi haipiti miwili kauli hii tutaisikia kwa wakuu wa wilaya,wakuu wa mkoa ,mawaziri, wabunge hata wanahabari.Lisemwalo lipo?

Wanahabari hasa wa tbc, uhuru, mzalendo na jambo leo
 
Siku moja kabla ya siku ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, nilimpigia simu mother baada ya kuambiwa anawapigia kampeni wagombea wa CCM.

Baada ya salam nilienda moja kwa moja kwenye point.

Sangarara: Vipi maandalizi ya uchaguzi yanaendeleaje huko?

Mother:Yanaendelea vizuri tu.

Sangarara: Nasikia (abc cba) anagombea kwa ticketi ya CHADEMA?

Mother: Ndio

Sangarara: Mtamchagua likini?

Mother: Mi nampigia Kampeni mgombea wa ccm.

Sangarara: Mnh??

Mother: Nampigia Kampeni mgombea wa ccm XYZ mtoto wa mzee ZYX.

Sangarara:Kwa nini

Mother: CHADEMA wakishinda wataleta vita.

Sangarara: Hiyo ni sababu ya kutoichagua CHADEMA, sababu ya kuichagua CCM ni ipi?

Mother: CCM ni chama cha amani na ndio kilichotulea.

Sangarara:Kwani Mbunge wa hapo ni nani?

Mother: Wenje

Sangarara: wa CHAMA gani?

Mother: CHADEMA

Sangarara: Ameleta vita?

Mother : Kimya

Sangarara: na yule wa Ilemela wa CHADEMA ameleta vita?

Mother: Kimya.

Sangarara: Mama!

Mother:Bee mwanangu.

Sangarara:tena nimekumbuka,yule mbunge wa Ilemela alikatwa mapanga na CHADEMA au CCM?

Mother: Kimya

Sangarara: hivi ameishapona.

Mother:Nasikia anaendelea vizuri.

Sangarara: Mimi si unajua niko CHADEMA.

Mother:ndio

Sangarara:Kwa hiyo mimi kwa unavyonifahamu nitaleta vita?

Mother: Hapana.

Sangarara: Sasa mbona unasema CHADEMA italeta vita, au haujui kama CHADEMA ni sisi?

Mother: Kimya.

Sangarara:Kwa hiyo mimi niko huku naangahika kutafuta maisha kumbe mama angu unazunguka mitaani kutangaza mimi nitaleta vita?

Mother: Kimya

Sangarara:Mama?

Mother: Nakusikia mwanangu..

Sangarara: Umenielewa?

Mother: Ndio

Sangarara:Umenielewa nini?

Mother: hizo habari za vita ni uongo tu.

Sangarara: Sawa ngoja nimtafute mgombea wa CHADEMA nimuambie aje akusalimie.

Mother:Mi niko hapa dirishani naona wanajikusanya waende kwenye Kampeni.

Sangarara: Muite niongee nae.

Mother: ABCiiiiiiiiiiiiiiiiiii njoo uongee na ndugu yako hapa.

Mother: anakuja, na haya magwanda yenu haya, sasa mtu anavaa makombati na jua lote hili.

Sangarara:hhahahaaaa hayo ndo kiboko ya CCM na kesho wakijaribu kuiba kura tutawatandika kweli kweli.

Mother:ahhhaaaaa na mjiandae kulinda kura CCM ni wezi sana

Sangarara: hahahahhaahaa yuko wapi ABC

Mother: amezunguka nyuma huku anakuja.

Sangarara:tena umpe kabisa ile sime yangu mtu akileta wizi ni kukata mikono tu haaahahhh

MKUU HUA UNAKUNYWA bIA GANI ? NENDA KAUNTA KACHUKUE KATONI MOJA , SITAKI MANENO .
 
mimi ni mwana CCM ambaye nimewahi kuwa ktk kikao kimoja na kiongozi wa juu wa chama, alikuja huku Tabora, kauli aliyotuambia, niwambie niliogopa sana. na niliamua kutojiusisha tena na siasa, bora nikae pembeni. ni chama changu lakn niliogopa mwenyew. tulikuwa ukumbi wa mikutano mkoani, baada ya vuguvugu la wanachuo wa SAUT kuzizima hapa Tabora. CCM wenyewe niliamini ndo tunavunja aman. hata dini yangu hairuhusu namna ile. ntarudisha kadi niwe huru, ctaki tena siasa. Kwaiyo nadhani aman inavunjwa na CCM wenyewe
 
Back
Top Bottom