Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

Huyo binti kisa ndoa yake iliingia shida bhasi kaamua na ya rafiki yake wawe sawa.. okey.
Acha ni.like nipite
We ni.mtu mzima, km vp endelea na mkeo hiyo mambo potezea..
 
Rafiki kasubiri wife kainuka,kaomba namba,halafu akaanza kukutafuta yeye,kwa kutoa siri za wife kwako,halafu anaomba asitajwe kama anahusika,anabembeleza sana,sina cha kusema sana,ila ningekuwa mimj ndio limenitokea hili kwanza ningemwambia wife wazi kabisa rafiki yake ndio kaniambia,halafu ningempiga marufuku rafiki kunitafuta na kunizoea,maana kinachofuata ni kujitongozesha huyo rafiki,kitu ambacho kwangu mimi nisingependa kabisa kujitia kwenye huo mtihani,then ningemweleza ukweli wife kuwa sina imani nae kwa kituko alichonifanyia,halafu ningekausha nione atachukua hatua gani.
 
sasa bwana Tamatheo adhabu ya mke kama huyu ni ipi? maana umetoa mikakati tu ya jamaa kumchunguza mkewe ila hujapendekeza adhabu stahiki
 
Last edited by a moderator:
Huyo binti kisa ndoa yake iliingia shida bhasi kaamua na ya rafiki yake wawe sawa.. okey.
Acha ni.like nipite
We ni.mtu mzima, km vp endelea na mkeo hiyo mambo potezea..

atapotezea vp wakati kaona mwenyewe yaliyo tokea
usiseme tu kirahisi iyo
 
hahahahaha sasa nyie wake zetu Hornet hamna makalio tufanyeje zaidi ya kuangaza angaza mijicho

Ndo maana tunakazana na squats,zikishindikana tunajifariji kwa kukumbatia ma ex...
 
Last edited by a moderator:
First come first served...kubali tu ndugu jamaa alikutangulia akaweka signature yake hapo kwa wife wako..kama waliishi wote three years zote za chuo, basi alikuwa kiaina mkewe tu kwa sheria ya ndoa ya TZ na watakuwa alishare mambo mengi. Hakikisha utamtumia vizuri huyo rafiki yake kujua nyendo zake wife wako..
 
Nawaza, hayo kafanya mkiwa wote. Je, wangekutana wenyewe si angeshika mhogo na kumwambia kuwa ameumiss sana ili waende akamtindue.
 
Nakubaliana na wewe kuhusu huyo so called rafiki wa mkewe. Kwamba ana uchungu sana na huyo shemeji yake au?? Friends stick together - PERIOD. Rafiki wa kweli angeongea na shoga yake na kumkanya juu ya kile alichokitenda na si kwenda kwa mume na kutoa taarifa za nyuma. More like anamuonea wivu rafiki yake!
 
[" lile jitu likazungusha round ya vinywaji, na pia likaniomba liende limtambulishe wife kwenye meza yao

bahati mbaya zaidi meza ya hilo jitu ilijaa wanaume pekee

lile jitu limerudishwa hapa dar na halijaoa bado ila lina mapene sana na kwamba lile jitu limerudishwa hapa dar na halijaoa bado ila lina mapene sana



Nimekuja kwenu kwa msaada zaidi[/QUOTE]


Kwa haraka nakuona una inferiority complex

Labda kutokana na umbo lako au financial status unayomiliki

Kumuita mtu jitu ni dalili ya kumuogopa maana kwa sisi tuliosoma zamani Jitu= mtu mkubwa sana kiumbo


USHAURI.

Huyo wife wako hana respect na hisia zako kwa sababu ya makosa yako mwenyewe
either unaishi bila uhalisia wa maisha halisi ya kiafrika ambapo mwanamke anatakiwa akuheshimu na kukuogopa, kumbuka sisi sio wazungu na hatuwezi kuishi kizungu km wanavyo- pretend watanzania wengi wasiojielewa.

Pamoja na yote bado hujachelewa
Badilisha tabia ongeza ubandidu, tengeneza mfumo dume ndani ya nyumba
Kwani wazazi wako bila mfumo huo wewe usingezaliwa.
Mwisho kumbuka pia kurusha ngumi ni sehemu ya upendo.
 
piga chini hamna ndoa hapo. umeingia cha kike. hili jambo litawafuata maisha yenu yote ya ndoa.
 
yalio pita sindwele mkuu yajenge na wife kama hayo yalikua yachuo basi yesha ishia kule labda kama ana cheat mara kwa mara anaeza mlegezea mchiz kama sio wa hizo tabia bas nifuraha tu kukutana na ex mkasalimiana coz kuachana sio ugomvi uyo demu unae sema rafiki yake aseme ukweli tu kama kashoboka umpe mzigo asianze kugombanisha ndoa yenu pia chunguza kisa kilicho mfanya amwagwe na mchizi uyo demu mnafiki ata haribu ndoa yako
 


Kwa haraka nakuona una inferiority complex

Labda kutokana na umbo lako au financial status unayomiliki

Kumuita mtu jitu ni dalili ya kumuogopa maana kwa sisi tuliosoma zamani Jitu= mtu mkubwa sana kiumbo


USHAURI.

Huyo wife wako hana respect na hisia zako kwa sababu ya makosa yako mwenyewe
either unaishi bila uhalisia wa maisha halisi ya kiafrika ambapo mwanamke anatakiwa akuheshimu na kukuogopa, kumbuka sisi sio wazungu na hatuwezi kuishi kizungu km wanavyo- pretend watanzania wengi wasiojielewa.

Pamoja na yote bado hujachelewa
Badilisha tabia ongeza ubandidu, tengeneza mfumo dume ndani ya nyumba
Kwani wazazi wako bila mfumo huo wewe usingezaliwa.
Mwisho kumbuka pia kurusha ngumi ni sehemu ya upendo.[/QUOTE]
Heko!
Nimependa na naunga mkono kila kitu ulichosema kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
 
Naona tabu kuchangia Uzi....Mapenzi hasa mkeo wa ndoa Kutoka nje ya ndoa!!! Is very hurting hata kwa kufikiri tu/kuimagine tu!!
 

Mekupenda bure.
Ila ni zaidi ya ujasusi kujifanya umemsamehe mwenzio ukiendelea kuobserve kimyakimya though it pays
 
duh huo usutaji wa wine na cake ndio unakuwaje?

Cake inaandikwa maneno mfn "purple umbea hauna posho" na wine nayo inabandikwa maneno hayo hayo afu inapelekwa kazini kwake au nyumbani kwake kwa bashasha na tarumbeta kama vile suprise ya birthday, asipokoma umbea huyo atakua special case
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…