feisal firdaus
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 424
- 677
Asante kwa ushauri ndugumpige chini
Atakuwa hana helaHuyo sio mke wako ni mwanamke wako maana hujamuoa. sasa je una ela? unapiga show ya ndoige? anzia hapo kisha uje kunishukuru
Hujamkuna mpaka ikatoka jasho ndio maanaMimi ni kijana mwenye umri miaka 34. Nina mke na watoto 2 mmoja kike mwengine wa kiume hapo hatujaoana lakini nimemtolea barua kwao .
Mwanamke huyu hamueshimu mtu yoyote hapa duaniani jeuri kiburi dharau pamoja na matusi nimekuwa nikimvumilia matusi yake naona kabisa nimechoka lakini nikiangalia Hawa watoto ndio inanifanya bado niendelee naye naomba jamani mwanamke Hana adabu kwa mtu yeyote yaani nimeingia choo cha kike.
Asante kwa ushauri ndugu yanguSasa hata mahali hujamtolea na ameshatotoa unasubiri nini sasa kumtoroka
naamini hivo piaAtakuwa hana hela
Sio kweli nduguHujamkuna mpaka ikatoka jasho ndio maana
Mimi ndo Sina hela mkuunaamini hivo pia
Nimekwambia haheshimu mtu yoyote mkuuMimi ndo Sina hela mkuu
Haichakate mpaka itoe mma 💦💦😂😂😂😂Hujamkuna mpaka ikatoka jasho ndio maana
ndo tatizo lilipo mkuu sasa muache utafte ela af umrudie, au muache usitafte ela, au muache tafta ela usimrudie....zipo muache tatu kwenye andiko langu utachagua mojaMimi ndo Sina hela mkuu