Mke wangu haniamini, nifanyaje?

Mke wangu haniamini, nifanyaje?

KAZILA

Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
12
Reaction score
0
Ndugu zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mfano; kumuachia simu yangu nikiwa nae, whatxap yangu yupo free, password ya FB, instargram zote anazijua.

Napenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa. Mwenzenu sijui nifanyeje.

Msaada wenu please kuokoa mahusiano yangu
 
Shida hapo anajiringanisha yeye alivyo na vidumu anaone na wewe utakuwa hivyo
 
Simama kiume mkuu. Usiforce perception ya mtu juu yako. Matendo yako yatafanya hilo, stay real and time will tell her who you are.
 
Yeye ndo ana mchepuko. Anaona anavyofanya yeye na wewe unafanya hivyo. Mchunguze yeye. Au katoka kuumizwa na mwanaume kama mpo kwenye mahusiano mapya.
 
simama kama mwanaume..........anakusumbua koz anakuona kama dem mwenzake tuu....
 
kweli wewe jamaa wa ajabu, sitashangaa hata na atm zako umemwachia yeye, maana inaonekana ni mbururazz.
 
Pole sana mkuu. Huenda yeye ana michepuko na anaku'nanga' hivyo ili usiweze kumhisi yeye. Maana kila muda anakuonesha yeye anaaminika ila sio wewe kwa hio baada ya muda utakua unaamini yeye yuko salama ila wewe tu ndio una shida.

Wewe usimpe simu wala password. Kuwa mjasiri mwambie kama HUWEZI NIAMINI NAONA SIWEZI KUENDELEA NA WEWE halafu usiongee tena. Shikilia tu apo na wala usitetereke uone kama hatabadilika... Anajua anachokifanya.

ndg zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mf; kumuachia cm yng nikiwa nae, whatxap yng yupo free, password ya fb, instargram zote anazijua, kupenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake ni kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa. Mwenzenu cjui nifanyeje, msaada wenu pliz kuokoa mahusiano yng
 
Usiwasikilize hawa wakurya humu ndani wasiojua malovee.endelea kumpet pet wife to be hivyo hivyo.anakupenda na wala hamaanishi anapretend tuu kuwa hakuamini.
 
Atakuwa anapukuchuliwa huyo tena kavukavu wewew unakaa kama bwegee
 
ndg zangu my wife 2 be haniamini kabisa, nimejaribu kufanya kila niwezalo mf; kumuachia cm yng nikiwa nae, whatxap yng yupo free, password ya fb, instargram zote anazijua, kupenda kutoka nae kila inapowezekana but imani yake ni kwangu ni ndogo sana na of coz mimi sina mchepuko kabisa. Mwenzenu cjui nifanyeje, msaada wenu pliz kuokoa mahusiano yng

Wewe ndo tatizo hiyo ni psychological problem alishakukuta na mchepuko ndo maana imani imepungua km umeachana nao bd haamini coz utakuwa umemtenda sana kwenye mahusiano yenu hawezi kutokuamini km ulihangaika sana na mabinti
 
Mnunulie gari mkuu atakuamini fasta
 
huyo atakua so mwaminifu kaka yangu make wake alikua name wivu Julio pitiliza mpaka ilikua keep baadae watu wakamtahadharisha kunauqezekano mkubwa make wake akawa so mwaminifu kwahiyo afanye uchunguzi baada ya kaka yangu kuanza kumfaatilia nyendo zake huwezi amino alicho kigundua alikua no Malaya huwezi amino lakini alikua na wivu usio kua name mfano jaribu kumchunguza atakua hajiamini kutokana name Tania zake
 
Simama kiume mkuu. Usiforce perception ya mtu juu yako. Matendo yako yatafanya hilo, stay real and time will tell her who you are.

Nimependa huu ushauri..... staying real is the best thing. You can't pretend to be what people want you to be but being what/who you are is the right choice.
 

ni upendo huo we endelea kua muaminifu
mwisho wa siku atakuamini tu
 
Hapo kuna jambo zaidi au labda ulishawahi kumsaliti hapo awali sasa amekuwa Mwoga.

Si unajua tena ukiumwa na nyoka mara moja hata ukiguswa na jani siku nyingine lazima uruke/ushtuke ukidhania ni nyoka tu huyo
 
You are not siriaz!!!! mmmh vip na pswd yako ya ATM umempa?
 
Back
Top Bottom