Mke wangu amening'oa kucha

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
790
Sebene limeanza usiku, kutokana na tabia yake ya udukuzi wa simu yangu hasa upande wa message na last calls wakati nimelala.
Asubuhi akaamka na mimi tena, nikaona isiwe tabu ngoja nimuepuke ibilisi nikajiendea church, kuepusha shari zaidi nikaunga juu kwa juu kwenye issue zangu ili hasira zake zipoe

Nimerudi kweli kapoa, tukaanza story hapa na pale kisha akaona kucha zangu zimekua ikabidi aanze kunikata ofcause ni tabia yake kufanya hivyo

Hee! Ile nashtuka si kang'oa likucha lote aisee, sasa nashindwa kuelewa sijui ni mistake tu au kafanya makusudi au sijui lile bifu laendelea.Ila kanipa pole ila sizani kama anamaanisha, hayo maumivu yake ni balaa sasa sijui nimpe adhabu gani aisee ndoa hizi jamani ni balaa

Angalizo:vijana msioe wala kuolewa.
 
mnhhhhhh......a very boring Sunday for sure
 
Wewe kama umeokota mradi mke usiwashauri vijana wasioe. wapo wenye maisha ya furaha. Pambana na changamoto za ndoa na mke usimfanyie hasira
 

hahaaaaaa! watu mnamasiala jaman!!! kucha inavouma vile hujasikkia had imetoka!!! anyway...!!!!
 
Usiku usilale kitakachofuatia ni kutobolewa jicho.
 
Amekupunguza makali makali ya Kifo cha Mende angaliaa asije kuchoma makalio na Pasi utakuwa mgeni wa nani
 
Hahahahahahah...huyu mtoa mada atakuwa na stress zakuachwa na mchumba ake aliyetegemea atamuoa...sijaona link hapo
 
Dawa yake huyo mbona ndogo....we tafuna big G bublish ikiisha utamu usiitupe...mvizie wakati amelala mgandishie kwenye mav.uzi yake uiache..subiri mpaka asubuhi utanipa jibu..halafu njoo utoe ushuhuda hapa
 
Dawa yake huyo mbona ndogo....we tafuna big G bublish ikiisha utamu usiitupe...mvizie wakati amelala mgandishie kwenye mav.uzi yake uiache..subiri mpaka asubuhi utanipa jibu..halafu njoo utoe ushuhuda hapa

hahahaha!!! fwala wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…