Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,767
unawaonea wivu wanao mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tuliza jazba Rijali mwenzangu..
Amini na ujue Mke na watoto wote ni mali yako.. Sasa unakosa nini... Mapenzi ni miezibtisa tu! Mke akisha zaa 80% love goes to baby!!
Wee peleka pesa za malezi na matumizi...!!
Ni life style tu ndo imebadirikaSa kama sio kweli nn kimefanya mpka asema ivo inamaana Kuna mambo ulikuwa ukiyafanya awali kama kumjali ,kumfurahisha na mengineyo mengi sasa hayaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu poleni na majukumu ya kila siku bhana nisikuchoshe nianze moja kwa moja
Wapwa niko kwenye ndoa mwaka Watano sasa nashindwa kuelewa haya maisha ya ndoa yana uhusiano gani na ya mahusiano kipindi bado hatuna watoto..
Kweli kipindi sina mtoto niko kwenye mahusiano mwenzangu alinipenda sana tofauti na sasa tuna watoto yeye hataki kusikia stori zangu n yeye na wanae swali kwa wanawake ,je ni kweli anapokuwa umezaa upendo wote huelekezwa kwa watoto?
Kama ndio vepe kuhusu mumeo alikuzalisha hastahili upendo au ndo tuwe busy kuijenga familia bila upendo pande zote ...!!!
Dondosha comment yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana utakua smart sana
Ha ha ha!!kawaida hiyo vumilia kaka me ilikua hivyo ilanshazoea yaaan unaweza mpelekea mayai tray nzima ile ameyapokea tu anaanza kusema haya ya kwangu na mtoto na ni kweli hupati hata 1 ila mwisho wa siku nlimchana
Sent using Jamii Forums mobile app
kawaida hiyo vumilia kaka me ilikua hivyo ilanshazoea yaaan unaweza mpelekea mayai tray nzima ile ameyapokea tu anaanza kusema haya ya kwangu na mtoto na ni kweli hupati hata 1 ila mwisho wa siku nlimchana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha!!
Mimi nilikua naleta maziwa mtindi dumu la litre 5, aisee sipati hata kikombe cha chai mpaka yanaisha. Naambiwa yote ya mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu iko ivo nadhani mzee wangu alianza kumzingua Bi mkubwa aisee Upendo wote maza ilibidi auelekezee kwangu na ivo ndo nilikuwa mtoto wake pekee wakiume Aisee sijawahi pata upendo wa kweli kama ule umeni affect saivi nimekuwa na niko mbali na mama ila kwa siku lazima nimpigie Simu au anipigie zaidi ya mara moja asububi na jioni haiwezi kupita siku sijaongea nae kwa simu na naweza piga nae story hata nusu saa kwa simu.
Upo kwenye ndoa mwaka wa TANO, mwanao wa kwanza ana miaka 7.... mdogo miezi SITA...!!
Jd rgehdbc kufvd ouokd lrvdig qweudv, OKAY..?
Ulikuwa unamnyonya mkeo ila sasa watoto wanamnyonya vema hadi maziwa yanamtoka, una nini cha ziada..?
Mke: “Jitahidi utujengee nyumba ili ukifa mimi na watoto tusihangaike”.
Dadadadeekii.
Hiyo n majukumu natimiza daily so kama n kawaida na mm n take ma time kwngne sio
Sent using Jamii Forums mobile app