SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Hii ni ya moto bado
Imebainika ya kuwa mke wa raisi wa 'Ukhraini', madam Elena Zelensky anafanya 'matanuzi ya kufuru', ikiwa ni pamoja na kununua vito vya dhamani vyenye gharama kubwa kwa kutumia fweza ambazo zinaaminika ya kuwa ni pesa za misaada ya kivita ambayo 'Ukhraini' inazipokea haswa kutoka taifa la Marekani na washikrika wake wa jumuiya ya NATO.
Mwanamama huyo juzi kati jijini New York city nchini Marekani alinunua kito cha dhamani Dola millioni moja ambayo ni sawa na shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
Ikumbukwe ya kuwa pesa hizo za msaada wa kivita dhidi ya Urusi ni pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa NATO ambao wengi wao wanateseka vibaya sana na ugumu maisha, hali inayopelekea wengine hata kushindwa kula milo miwili kwa siku.
Hii inadhihirisha ya kuwa Zelensky na serikali yake tiyari ni mabilionea wa kutupwa kwani hivi karibuni mitandaoni kumekuwa na habari mbali mballi zinazowanyesha watumishi wenye nyazfa kubwa katika serikali ya Zelensky pamoja na familia wakifanya matanuzi makubwa na kumiliki mali za kifahari kama vile majumba na maboti (yacht).
Ufisadi huu katika serikali ya Zelensky umeanza kuibua kelele nyingi mitandaoni mpaka kufukia hatua katika baadhi ya nchi wahisani (USA and Europeans countries) wa vita ya 'ukhraini' kutaka kusitisha misaada wanayoitoa.
Pichani haponi risiti ya malipo ya Elena Zelensky inayoonyesha thamani ya kito alichokinunua New York.
Cc: nakala kwa MK254 et al.
Imebainika ya kuwa mke wa raisi wa 'Ukhraini', madam Elena Zelensky anafanya 'matanuzi ya kufuru', ikiwa ni pamoja na kununua vito vya dhamani vyenye gharama kubwa kwa kutumia fweza ambazo zinaaminika ya kuwa ni pesa za misaada ya kivita ambayo 'Ukhraini' inazipokea haswa kutoka taifa la Marekani na washikrika wake wa jumuiya ya NATO.
Mwanamama huyo juzi kati jijini New York city nchini Marekani alinunua kito cha dhamani Dola millioni moja ambayo ni sawa na shilingi bilioni 2.5 za kitanzania.
Ikumbukwe ya kuwa pesa hizo za msaada wa kivita dhidi ya Urusi ni pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa NATO ambao wengi wao wanateseka vibaya sana na ugumu maisha, hali inayopelekea wengine hata kushindwa kula milo miwili kwa siku.
Hii inadhihirisha ya kuwa Zelensky na serikali yake tiyari ni mabilionea wa kutupwa kwani hivi karibuni mitandaoni kumekuwa na habari mbali mballi zinazowanyesha watumishi wenye nyazfa kubwa katika serikali ya Zelensky pamoja na familia wakifanya matanuzi makubwa na kumiliki mali za kifahari kama vile majumba na maboti (yacht).
Ufisadi huu katika serikali ya Zelensky umeanza kuibua kelele nyingi mitandaoni mpaka kufukia hatua katika baadhi ya nchi wahisani (USA and Europeans countries) wa vita ya 'ukhraini' kutaka kusitisha misaada wanayoitoa.
Pichani haponi risiti ya malipo ya Elena Zelensky inayoonyesha thamani ya kito alichokinunua New York.
Cc: nakala kwa MK254 et al.