Mke wa mtu

Ayusema

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
549
Reaction score
189
Daaah hivi kwanini ukianzisha mahusiano na mke wa mtu ni kazi sana kukatisha na mwisho wake huwa ni fumanizi???....Nimenasa kwa mke wa mtu sikuwa najua kama ameolewa wakati natupa mshipi, baada ya penzi ndo anasema yeye ni mke wa mtu wakati nshachonga mzinga mie kwa asali ilivotamu. nimenasa na pezi lake sasa nawaza nifanye nini coz nipo njia panda..
 
mega tu wala usiwaze. unajua wanawake wazuri wanaolewa haraka sana. kwa hiyo hata huyo atakuwa mzuri.....mega ukifumwa utamwambia mwenye mali mkeo mzuri inabidi ale na wenziwe
 
Moyo mgumu haufungwi kwa spana na wala ujasiri wa ntu hauletwi na mwingne bali ni yeye mwenyewe.
Kila aangamizaye kwa upanga ataangamia kwa upanga,
mwisho wa dhambi ni aibu.
Ndio maana nasema watu humu wengi wetu tunajifanya wanakemea michepuko lakn kumbe wanasiri zao chini ya mioyo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…