Mke wa mtu sumu, mume wa mtu je?

Mke wa mtu sumu, mume wa mtu je?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,910
Reaction score
18,558
Wengi wanakubaliana kuwa mke wa mtu sumu wakiwemo kina dada wasio na waume! Lakini cha kushangaza hao kina dada ndio mabingwa wa kupapasa dyudyu za waume za watu!

Lakini pia waume wengi hung'aka kwa nguvu zote kuwa mke wa mtu sumu lakini wao ndio wa kwanza kusaliti wake zao! Yaani wao kusalitiwa ni sumu lakini wao kusaliti ni poa! Humu jamvini mnalionaje hili?

Karibun tudadavue mada!
 
mna mambo, mke wa mtu sumu na mme wa mtu maziwa, ukiwachanganya vzr utapata HIV+ itayosumbua familia zote mbili.

hahahaha shauri zenu na slogan zenu.
 
Mume wa mtu maziwa..
Mkewe akijua anatambulishwa mke mwenza.


Sasa tembea na mke wa mtu halafu mumewe akubambe
Utajuta!
 
mna mambo, mke wa mtu sumu na mme wa mtu maziwa, ukiwachanganya vzr utapata HIV+ itayosumbua familia zote mbili.

hahahaha shauri zenu na slogan zenu.

ARV's ni bure yaani zinarudisha mtu kama katoka kuvunja ungo . labda kisemwe kingine.
 
ARV's ni bure yaani zinarudisha mtu kama katoka kuvunja ungo . labda kisemwe kingine.

hiyo slogan yako na comment yako haviendani kabisa.

Hebu fikiria kwanza halafu uje tena.

asante
 
Wengi wanakubaliana kuwa mke wa mtu sumu wakiwemo kina dada wasio na waume! Lakini cha kushangaza hao kina dada ndio mabingwa wa kupapasa dyudyu za waume za watu!

Lakini pia waume wengi hung'aka kwa nguvu zote kuwa mke wa mtu sumu lakini wao ndio wa kwanza kusaliti wake zao! Yaani wao kusalitiwa ni sumu lakini wao kusaliti ni poa! Humu jamvini mnalionaje hili?

Karibun tudadavue mada!
Ukimwona mwanamme anajivinjari na mke wa mwenzie rafiki msachi mifukoni lazima ana KY kwani anajua mwisho wa mchezo....... Ukimwona mwanamke anajivinjari na mme wa mtu msachi kwenye pochi lazima ukutane na ndumba.
 
Mke wa mtu sumu mume wa mtu maziwa. Mbona rahisi tu. Mke wa mtu (ambaye ndo sumu sasa) chepuka na mume wa mtu (maziwa)
 
Back
Top Bottom