Mke wa mtu sumu, jamaa kakatwa dushe

A
Ahaa mkuu kufumuliwa marinda duu nini? Sasa badala ya kumpa pole unamlaumu shetani na pepo la ngono limemponza
 
Hii Nimeipenda Sana.Na Naichukua Kama Ekizampo.Nikikufuma Na MamaSolomonii Wangu Na Mimi Nakunyofoa Kifanyio Chako.Naenda Kukichoma Kama Mishikaki Ya Babakyu!
 
Pole zake. Lakini hao wataalamu wa Afya hawajamstahi kwa kitendo cha kumpiga picha. Tulifundishwa kuheshimu "Patient's confidentality." Kama ingekuwa nchi za wenzetu KESI ya madai ingewahusu hawa. Anyways, watanzania (Waafrika) wengi bado ni Ignorant sana kiasi cha kujua haki zao katika mambo mengi yanayowahusu.
 
KHAH kwani mkewe kaachiwa alama? by the way UMU imezidi nguvu MAZIWA.
 
Na wew ndo walewale nini
 
Mwanaume utakatwaje uume na mwanaume mwenzako! Watu muwe mnapiga nondo ili kujiweka fiti ila sikubaliani na kuchepuka na mke wa mtu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…