Mke wa mtu ameniganda


Endelea kujipigia mke wa mtu huyo
 
Sasa umekuja hapa kuomba ushauri au kutupotezea muda?

Kwanza wewe ni muongo:

Je huo utofauti wa umri ndio umeugundua punde tu baada ya kujua huyo ni mke wa mtu???

Kuna kila dalili hata asingekuwa ni mke wa mtu bado ungemchezea huyo mwanamke na kumuachilia mbali...

issue kubwa Age,mke wa mtu si issue coz yuko tayar kuachika (divorced).
 
Mwenzake huku mwanza naubabe wake kaliwa mpaka utumbo Nje kisa mkewamtu kaka jiandae ku f I r wa nakwambia umeshauriwa unaleta ubabe?mkewamtu sumu pia hatakama itapita miaka mingapi hutaishi kwaamani coz jamaaa atazipata tu na ndio utakuwa mwisho wako.
 
ata akijua anitishi kwa chochote, yeye pia unawez kuwa mwsho wke.Nataka kumtema coz alinidanganya na si kwasababu ni mke wa mtu,ata mm anawez kuwa mke wngu kwan ndoa nini si makatasi tu.
 

subir upigwe bastora ndipo umuache umesikia
 

wewe endelea naye watakujuaje kuwa ni kidume? lakin ujue hiyo ndo safar ya kugeuzwa kuwa mwanamke. Ww ona fahar kuiba vya watu lakin mda si mrefu utapumuliwa kisogon
 
wakati mnaanza uhusiano, hiyo range of 7 years ulikuwa huioni? Achilia mbali status ya kuwa mke wa mtu!!
 
Weka mbali na watoto, mke wa mtu sumu, kimbia ukingali na miguu yako.
 
Achana naye huyo tapeli wa ngono na wala si mapenzi..

Alianza kwa kuniganda mimi nikamtolea nje; kuwa makini wengi tumeshapita hapo
 

Acha habari zako wewe, inamaana wakati unaanza nae mapenzi hukujua kama mmetofautiana kiumri hadi uchukulie kama ndio point ya kujijustify hapa? We sema ni mke wa mtu na hukujua full stop.
The matter of fact is you should avoid her from now ndugu yangu. Usidhani kila siku mtafanikiwa kujificha, wahenga waliposema mapenzi ni kikohozi hawakukosea. Jua kuwa ipo siku mumewe atagundua tu na hapo ndipo balaa litakapoanzia. If you're ready to face the consiquances haya endelea kukutana na huyo mwanamke.
 
si kwasababu ni mke wa mtu,ata mm anawez kuwa mke wngu kwan ndoa nini si makatasi tu.[/QUOTE] Mungu akusaidie.
 
Nimekubamba kumbe wewe ndio unatafuna mke wangu,nakuhakikishia lazima nikutafune kabang yako,nikishirikiana na mabaunsa wangu ,halafu tutazirekodi hizo picha,tutazisambaza mtaani kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…