Mke wa kuoa

Mke wa kuoa

TOURMALINE

Senior Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
125
Reaction score
24
Natafuta mke wa kuoa, vigezo ni kama ifuatavyo, 1. Awe muislam, mcha mungu, miaka 22-25 2.Awe mwalimu kuanzia primary 3.Awe mwembamba wastani, c mrefu, c mfupi, maji ya kunde au mweupe 4.mtanashati, mkarim, mcheshi, kabila lolote lakn licwe la kanda ya ziwa. 5.Acyependa makuu,
 
Walimu wa kike wamekuwa marketable kweli.......I go back to school atlist nipate certificate ya ualimu wa chekechea nipate mume...hahahahaha!
 
Natafuta mke wa kuoa, vigezo ni kama ifuatavyo,
1. Awe muislam, mcha mungu.
2.Awe mwalimu kuanzia primary
3.Awe mwembamba wastani, c mrefu, c mfupi, maji ya kunde au mweupe
4.mtanashati, mkarim, mcheshi, kabila lolote lakn licwe la kanda ya ziwa.
5.Acyependa makuu,

1.nenda misikitini utapata ndio wanawafahamu hao walimu tena wanasali hukohuko sisi itakuwa kazi ngumu kujua sijui anasali kanisa gani
2.kazi ya kumjua mwembamba ni kazi ngumu maana siku hizi kuna nguo za kichina unaweza kumuona mtu mnene akitoa magodoro aliyonayo anakuwa mwembamba nayo ni kazi itabidi uwe na kazi ngumu ya kuwajua
3.asiyependa makuu yapi hayo hujaeleza vizuri
4.asitoke kanda ya ziwa wasiliana na mod hili tangazo lisiwafikie watu wa kanda ya ziwa hakuna umuhimu wa kulisoma na hujafafanua asiwe mzaliwa wa huko au mtu yoyote aliyetoka kanda ya ziwa hatakiwi au mtu yoyote anayekaribiana kitabia kimila na kiutamaduni na watu wa kanda ya ziwa hatakiwi fafanua vizuri mkuu ni hayo tu
 
Mmmh haya bhana kila la heri.
1.Dini yake
2. Nasaba
3.Uzuri
4.Mali
Oweni wenye Dini la sivyo mtaangamia mengine yote yanatafutwa au kubadilika

Mi ninae ndugu yangu ana sifa hizo katoka kusini
Ila kwanza toa CV yako ye amemaliza form iv div 5 unaweza kumpeleka uwalimu tu utakao wewe
 
1.nenda misikitini utapata ndio wanawafahamu hao walimu tena wanasali hukohuko sisi itakuwa kazi ngumu kujua sijui anasali kanisa gani
2.kazi ya kumjua mwembamba ni kazi ngumu maana siku hizi kuna nguo za kichina unaweza kumuona mtu mnene akitoa magodoro aliyonayo anakuwa mwembamba nayo ni kazi itabidi uwe na kazi ngumu ya kuwajua
3.asiyependa makuu yapi hayo hujaeleza vizuri
4.asitoke kanda ya ziwa wasiliana na mod hili tangazo lisiwafikie watu wa kanda ya ziwa hakuna umuhimu wa kulisoma na hujafafanua asiwe mzaliwa wa huko au mtu yoyote aliyetoka kanda ya ziwa hatakiwi au mtu yoyote anayekaribiana kitabia kimila na kiutamaduni na watu wa kanda ya ziwa hatakiwi fafanua vizuri mkuu ni hayo tu
Nataka m2 anayetoka karbu ma mkoa wa kwe2 au karbu na nilipo sasa yani dar.
 
Natafuta mke wa kuoa, vigezo ni kama ifuatavyo, 1. Awe muislam, mcha mungu. 2.Awe mwalimu kuanzia primary 3.Awe mwembamba wastani, c mrefu, c mfupi, maji ya kunde au mweupe 4.mtanashati, mkarim, mcheshi, kabila lolote lakn licwe la kanda ya ziwa. 5.Acyependa makuu,

Kuna kigezo muhimu umesahau, awe used au awe 0 km?
 
Walimu wa kike wamekuwa marketable kweli.......I go back to school atlist nipate certificate ya ualimu wa chekechea nipate mume...hahahahaha!

mwenyewe ngoja nibadilishe fani. Naona ualimu ushakuwa dili kwenye suala zima la malavidavi.
 
1.nenda misikitini utapata ndio wanawafahamu hao walimu tena wanasali hukohuko sisi itakuwa kazi ngumu kujua sijui anasali kanisa gani
2.kazi ya kumjua mwembamba ni kazi ngumu maana siku hizi kuna nguo za kichina unaweza kumuona mtu mnene akitoa magodoro aliyonayo anakuwa mwembamba nayo ni kazi itabidi uwe na kazi ngumu ya kuwajua
3.asiyependa makuu yapi hayo hujaeleza vizuri
4.asitoke kanda ya ziwa wasiliana na mod hili tangazo lisiwafikie watu wa kanda ya ziwa hakuna umuhimu wa kulisoma na hujafafanua asiwe mzaliwa wa huko au mtu yoyote aliyetoka kanda ya ziwa hatakiwi au mtu yoyote anayekaribiana kitabia kimila na kiutamaduni na watu wa kanda ya ziwa hatakiwi fafanua vizuri mkuu ni hayo tu

Usijigeuze Dalali au Mshenga, Mwenye sifa kama yupo anajijua, kama huna sifa hizo haikuhusu.anataka kuoa huyo usidhani anatafuta Mchepuko kishajua sio dili.
 
Nataka m2 anayetoka karbu ma mkoa wa kwe2 au karbu na nilipo sasa yani dar.

Nakushauri achana na Vigezo ambavyo ni illogical, kumbuka Mke ni mwenzi wako wa Maisha sio kama kituo cha ajira ambach ndio unaweza kuweka masharti kama hayo.
 
Kaka, nadhani unaweza ukampata mwenye vigezo vyote hivyo; ila ni baadae sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom