Naomba kusaidiwa kwa hili limekuwa gumu kwangu.
Nimehudhuria semina nyingi za masuala ya urafiki, uchumba na ndoa lakini nimeshndwa kujua ni maeneo yapi ambayo ni sahihi kumpata mke.
Bado hawajaisha huko?..Au kuna stock ya kutoshaAnapatikana/ anatoka kwa Bwana
Stock ipo ya kutosha tu, ila na wewe mume lazima uwe kwa Bwana ili aweze kukupatia huyo mke mwema wakoBado hawajaisha huko?..Au kuna stock ya kutosha
Ok..Ngoja nianze kumtafuta Bwana kwanzaStock ipo ya kutosha tu, ila na wewe mume lazima uwe kwa Bwana ili aweze kukupatia huyo mke mwema wako
Ungekuwa na hela nyingi ungekuta ushapata mkeNaomba kusaidiwa kwa hili limekuwa gumu kwangu.
Nimehudhuria semina nyingi za masuala ya urafiki, uchumba na ndoa lakini nimeshndwa kujua ni maeneo yapi ambayo ni sahihi kumpata mke.
Ndugu yangu achana na semina tafuta kwanza hela nyingi mke atakuja mwenyewe tena siku ya kwanza tu utaanza kuitwa baby. Nakuhakikishia fanya hivyo sasa utaona matokeo.Naomba kusaidiwa kwa hili limekuwa gumu kwangu.
Nimehudhuria semina nyingi za masuala ya urafiki, uchumba na ndoa lakini nimeshndwa kujua ni maeneo yapi ambayo ni sahihi kumpata mke.
Naomba kusaidiwa kwa hili limekuwa gumu kwangu.
Nimehudhuria semina nyingi za masuala ya urafiki, uchumba na ndoa lakini nimeshndwa kujua ni maeneo yapi ambayo ni sahihi kumpata mke.
Truth be told, Jamii forums ni moja ya sehemu babkubwa sana kupata manzi aliyetulia. Kwa mtu makini, maandishi yanazungumza mengi sana. Na since wengi hatujuani, kila mtu anasema anachojisikia kulingana na upeo wake.
Only downside ni muonekano. Avi ni K.D. Aubert, na ndio picha unayojenga kichwani. T.I's wife in real life. Beware.