zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Inapotokea Mume au Mke haridhishwi na Tendo la ndoa na wapo kwenye ndoa,mahusiano nani abebe lawama..hapa kuna makundi yafuatayo unapochangia bezi kwa makundi.
>Kundi la kwanza,
Mume/Mke wote wafanyakazi..
Kundi la Pili.
Wote Mume/mke hawafanyi kazi.
Kundi la Tatu.
Mume mfanyakazi,Mke si mfanyakazi.
Kundi la Nne.
Mke mfanyakazi,Mume si mfanyakazi.
>Kundi la kwanza,
Mume/Mke wote wafanyakazi..
Kundi la Pili.
Wote Mume/mke hawafanyi kazi.
Kundi la Tatu.
Mume mfanyakazi,Mke si mfanyakazi.
Kundi la Nne.
Mke mfanyakazi,Mume si mfanyakazi.