1.Yawezekana hauko katika mazingira ya usafi ,
2. kachoka na kazi za siku nzima,
3. hajisikii kuwa na wewe muda huo.
4.Hauna jipya hata mkiendelea utamchosha tu.
5. Anakereka na unachofanya.
Mambo ni mengi ambayo yanaweza sababisha hali hiyo.
Subiri watakuambia wataalamu.