TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.
Natafuta mke wa kuoa, vigezo ni kama ifuatavyo, 1. Awe muislam, mcha mungu, miaka 22-25 2.Awe mwalimu kuanzia primary 3.Awe mwembamba wastani, c mrefu, c mfupi, maji ya kunde au mweupe 4.mtanashati, mkarim, mcheshi, kabila lolote lakn licwe la kanda yaziwa. 5.Acyependa makuu,
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.
Hebu weka cv unioe mie....
Evelyn Salt wewe unataka je ili nijipimeHebu weka cv unioe mie....
Nawe unataka mke?Evelyn Salt wewe unataka je ili nijipime
Nawe unataka mke?
weka cv hasahasa upande wa uchumi sura siangalii hata mbuzi anayo
Atanunua gobore, nyumba aizungushe mizinga ya nyuki,na papuchi aifungie mita anaweka units anatumia zote...akikuoa ww asiwe na wivu kwasababu kwa jinsi ulivyo kila mwanaume lazma atakutaman hata awe hanith
Teh nami naahidi kuwa mkeo katika shida na raha...Mimi ndio mmiliki wa oil com
Teh nami naahidi kuwa mkeo katika shida na raha...
Jiandae make ni mvua ya pm inafata...Fanya kama unani PM
Narudi kwenu tena waungwana.Bado cjampata ninayemtafuta.Naombeni msada wenu wa hali na mali.