Mke anayejitambua anahitajika nami

mr handsome

Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
8
Reaction score
0
Mimi ni mtu wa umri wa kati ninayetafuta mchumba/mke anayejitambua kama unajitambua ni pm tufahamiane uwe mke wangu.
 
1. Wew unajitambua???
2. Unafanya kazi wapi???
3. Account yako hadi leo jion inasoma kiasi gani!??
4.una ndugu wangapi wanaokutegemea???
 
Umri wa kati ndio miaka mingapi?
Unajiita handsome tupia picha basi!
 
1. Wew unajitambua???
2. Unafanya kazi wapi???
3. Account yako hadi leo jion inasoma kiasi gani!??
4.una ndugu wangapi wanaokutegemea???

Namba 2 na 3 zimekaa kimachame machame ndani ya karne ya 21.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…