Kiasi fulani muono wako juu ya mpangilio uko vizuri, lakini unadhani pia kwamba, serikali hii hii inayoshughulika na mikopo hewa, huku kukiwa na cv fake, wafanyakazi hewa huku kukiwa na kukosekana kwa ajira, ukosefu wa dawa, huku kukiwa na ongezeko kubwa la watu, nk. inaweza kujiongezea jukumu lingine kubwa la ki sera kama hilo?