Aisee...Ni kweli mkuu hio hali ilishanikutaga kipindi flani sina ramani. Hakuna rangi niliacha kuonahapo mtoto anaenda job na kurudi muhuni naganga njaa mtaani. Siku akijisikia kukuchamba anakuchamba vizuri tu, sometime nilikuwa namzibua ila nachoshukuru tu hakuwahi kuniletea pigo za usaliti maana nahisi tungeuana mjengoni.
Sishauri mtu aanzishe mahusiano serious na mwanamke ikiwa hana shughuli ya kueleweka mjini. Utateseka sure im telling you. Wanawake wana masimango sana wakiwa na nafasi kiuchumi na wepesi sana kujisahau. Ikiwa yeye hana unamfanyia vyote kama binadamu kwa wema na upendo ila wao sasa ni ngumu sana.
Mwana unahofia chama lawana nini! Kaza moyo.
Wanaume tunapitia mengi sana tunapokuwa hatuna kitu kwa wake zetu. Baadae baada ya jamaa kufanikiwa kimaisha na kuamua kuoa mke mwingine utasikia. Nilimkuta hana mbele wa nyuma, mtaji nimempa mimi. Kwa dharau hizo? Hayupo mwanaume yoyote anayependa kudharauliwa na mwanamke. Huyo jamaa ningekuwa mimi, najifanya mjinga sana, mnanyenyekea hata akinikosea nitamuomba msamaha ili niweze kutumia pesa yake vizuri kuinvest. Nikaweka mambo yangu vizuri kiuchumi. Nikupiga chini wala hakuna kuangaalia nyuma na oa mke mwingine maisha yanaendelea.Wqnaume wanakwamba wapi jaman
Ni kwa sababu hio sio nature na mwanaume kuhudumiwa. Mwanaume anatakiwa kuwa provider sio tegemezi ndio maana inapotokea mwanaume analelewa inakuwa issue kubwa....Mwanaume ukikosa kazi ujue umepatikana.
Wanawake wengi wana roho mbaya huwezi kuamini, yeye akiwa hana kazi utaishi nae na kwao itasaidia kama kawaida, sasa ukose mishe utakiona cha moto, mpaka kwao wanakusimanga
Hii inawakumbaga wanawake wengi sana wenye vidomodomo ambao huishia kutoswa bila huruma.Wanaume tunapitia mengi sana tunapokuwa hatuna kitu kwa wake zetu. Baadae baada ya jamaa kufanikiwa kimaisha na kuamua kuoa mke mwingine utasikia. Nilimkuta hana mbele wa nyuma, mtaji nimempa mimi. Kwa dharau hizo? Hayupo mwanaume yoyote anayependa kudharauliwa na mwanamke. Huyo jamaa ningekuwa mimi, najifanya mjinga sana, mnanyenyekea hata akinikosea nitamuomba msamaha ili niweze kutumia pesa yake vizuri kuinvest. Nikaweka mambo yangu vizuri kiuchumi. Nikupiga chini wala hakuna kuangaalia nyuma na oa mke mwingine maisha yanaendelea.
Wise msg ever!Hii inawakumbaga wanawake wengi sana wenye vidomodomo ambao huishia kutoswa bila huruma.
Wazee iko hivi,,,Kuwa na mtu ambaye hana kitu ni jambo moja ila kuishi nae vizuri ni jambo lingine.
Kuna mwanamke anaweza akawa na mwanaume ambaye hana kitu ila akam support working together as a team daily anamjaza energy kwa maneno mazuri ya faraja na kumsitiri kadri awezavyo. Words like unaweza baba, i believe in you...hebu try this naamini it will workout, hebu fanya vile tutasogea tu...go for it babaa na kwa baraka na moyo tu kidume unafanikiwa. Mwanamke wa aina hii kuolewa na jamaa na kuja kufanyiwa makubwa maishani kama shukurani ni jambo ambalo litastaajabisha wengi sana ils kiukweli she will be deserving the best out of the planet.
Aina nyingine ndio wale ambao heshima na upendo ni wa nyakati flani tu. Wakati wa raha ndio utajaliwa kama mfalme, pesa ikiwepo kurahisisha maisha utaitwa Handsome na majina yote mazuri. Ila siku hela zikipungua au kukatika uhusiano unageuka kuwa ni jehanamu. Utaitwa mpumbavu, mjinga huna lolote huna maana.
Hata kama pale mwanzo wa mahusiano alikuheshimu na kukuonesha upendo ila ukishaonekana hali yako ya kiuchumi ni duni mwendo wa dharau na kejeli na masimango kwamba huwezi mfanyia hiki wala kile ila yupo na wewe basi tu.
"We upo upo tu mbaba mzima huna kazi...huangalii hata vijana wenzio wamechangamka", "Jamani mi ningepata mwanaume mwenye uwezo tungekuwa mbali sana...ungekuta hata hatukai kwenye kanyumba haka kama choo!"
Kiukweli mwanamke wa aina hii ukitusua ni rahisi mno kumuacha solemba maana hana utu hata kidogo. Mwisho ni lawama tu oh, nilimpenda yule mwanaume nikamsaidia hili na lile ila deepdown ulimsaidia kwa masimango mengi mno. Ubongo wa mwanadamu ni mwepesi kukumbuka mabaya kuliko mema.
So inategemea na uliishi vipi na mtu, kama ulifanya manyanyaso kutokana kwamba mtu ana hali duni hatokaa asahau hilo hata kidogo. Mtu atasepa zake akafanye maisha mbele huku utaishia kuwa mtu wa lawama tu. Tujifunze kuishi na watu vizuri!
Mambo mengine ukishakosa ndo utaelewa 😆😆😆;kikubwa tumwombe Mungu atupatie wepesi! Waswahili wanasema tusitukane wakunga wakati uzazi ungalipoNi ujinga sana eti mwanaume unakosa,kitu cha kufanya.
Ati watu roho ziliwauma! Roho kuuma unakuja kuelekea yasiyokuhusu? Na hao wengine ndio hivyo hivyo wamepata ya kusimulia.Jamani mwanamke unapopata kazi unatakiwa kuipenda na kuwa na heshima kazi yako isiwe fimbo ya kuchapia watu..
jamani kuna dada mmoja ameolewa yeye anakazi ya ofisini ameajiriwa mumewe kazi hana yani yule kaka naona hana tu bahati ya kupata kazi japo amesoma mpaka diploma kutokana na maisha kuwa magumu kabla ya kuoa huyu kaka alipata kazi katika kampuni ya ulinzi ambayo ilikuwa inamsaidia anapata hela za kulipa kodi na kufanya mambo yake mengine
yule kaka akafanya kazi hapo kwa muda tu ila kipindi cha kati hapa tukagundua kunamabadiliko sana yani kijana anazidi kunawiri alikuwa amepanga chumba kimoja mara akamuomba mama mwenye nyumba yake anataka chumba na sebule kwakuwa kunampangaji mmoja alikuwa anahama kwenye hiyo nyumba
na akavilipia, mara tukaona ndani kunaletwa makochi, firji na makapeti mmhhh watu wakaanza kujiuliza jamaa kapandishwa cheo???? siunajua uswahilini tena
heeeee mara tukawa tunaona mwanamke anakuja siku za weekend anapika na kupakua na kufanya usafi ndio watu wakaanza sasa maneno ya chini chini mwanaume kabebwa kapata mwanamke mwenye hela ndio maana kamfanyia hivyo vyote, lakini yule kaka hakuacha kazi yake akawa bado anaendelea nayo masikini sema tu ndio mabadiliko kwa mtu aliyemjua tokea zamani anayaona na kushangaa ikaenda hivyohivyo mpaka yule kaka kuamua kuoa sasa kumuoa yule msichana kweli harusi zetu za ubwabwa simnazijua tukaenda kuoa ndugu na majirani tukachukua mwali wetu akaja uswazini
shoga mwanamke tena naona akaanza kuona aibu kwamba yeye anafanya kazi ofisini mumewe analinda tena kazi zenyewe za kurudi asubuhi akaona isiwe tabu akamwambia mumewe acha kazi nakufungulia biashara na kila mwezi nitakuwa nakupa laki moja
ukiangalia ndoa ndio kwanza changa jamaa atafanyaje akaamua kweli kuacha na kusubiri mkewe atakapo mfungulia biashara kweli yule dada akamfungulia duka yule kaka la kuuza vitu vya nyumbani mchele,sijui sabuni etc
maisha yakasonga lakini siunajuwa siye wanawake tena ni wachache hata baada ya kugombana ukamuheshimu mume wako ukiangalia wewe ndio unayeshika maisha ya nyumbani
basi jana usiku sijui waligombana nini jamani aibu hii yule dada alitushangaza mtaani pale alimtukana mumewe matusi na kumdharilisha sote tukajua kumbe yeye ndio alimuachisha kazi na anamlipa kila mwezi laki
yule kaka wa watu kama mwanaume akawa anafoka yule dada anamtukuna na akamwambia anafunga na duka lake kweli yule dada akachukua kufuli akafunga duka akaondoka zake akamuacha yule kaka pale kwa aibu watu kibao wamejaa
jamani watu roho ziliwauma...yule kaka akaondoka na kuingia ndani sasa sijui mpaka sasa hivi kama yule dada alirudi nyumbani kwake au vipi bado sijarudi mtaani ila kwa habari zaidi nitawaahadithia nikirudi uswahilini
Kabisa tena hawana shukrani, ukimwambia huna ananuna na lawama juuNi kwa sababu hio sio nature na mwanaume kuhudumiwa. Mwanaume anatakiwa kuwa provider sio tegemezi ndio maana inapotokea mwanaume analelewa inakuwa issue kubwa....
Mwanaume anapopata mwanamke wa kumbeba anatakiwa abebeke japo apigane apate kitu kidogo ila sio kutegemea msaada wa mwanamke siku zote.
Inachosa sana.
Nani ananuna?Kabisa tena hawana shukrani, ukimwambia huna ananuna na lawama juu
Mwanaume ukikosa kazi ujue umepatikana.
Wanawake wengi wana roho mbaya huwezi kuamini, yeye akiwa hana kazi utaishi nae na kwao itasaidia kama kawaida, sasa ukose mishe utakiona cha moto, mpaka kwao wanakusimanga
Ni kweli mkuu hio hali ilishanikutaga kipindi flani sina ramani. Hakuna rangi niliacha kuona 🤣🤣🤣 hapo mtoto anaenda job na kurudi muhuni naganga njaa mtaani. Siku akijisikia kukuchamba anakuchamba vizuri tu, sometime nilikuwa namzibua ila nachoshukuru tu hakuwahi kuniletea pigo za usaliti maana nahisi tungeuana mjengoni.
Sishauri mtu aanzishe mahusiano serious na mwanamke ikiwa hana shughuli ya kueleweka mjini. Utateseka sure im telling you. Wanawake wana masimango sana wakiwa na nafasi kiuchumi na wepesi sana kujisahau. Ikiwa yeye hana unamfanyia vyote kama binadamu kwa wema na upendo ila wao sasa ni ngumu sana.
Wanawake mkitoa roho zinauma Sana, Si mume wake, si mnasema mwili mmoja? Au? Si anauza dukani?Ni kwa sababu hio sio nature na mwanaume kuhudumiwa. Mwanaume anatakiwa kuwa provider sio tegemezi ndio maana inapotokea mwanaume analelewa inakuwa issue kubwa....
Mwanaume anapopata mwanamke wa kumbeba anatakiwa abebeke japo apigane apate kitu kidogo ila sio kutegemea msaada wa mwanamke siku zote.
Inachosa sana.
Wanaume wa siku hiziNani ananuna?
Tehteh.... kwamba unamhudumia siku ukimwambia sina analalamika!Wanaume wa siku hizi
Mnatukanana halafu mnarudiana. Mtaa wote wanawaona wajinga. Ni vizuri kama umekosana na mpenzi wako muongee kistaarabu kama itashindikana basi kila mmoja achukue 50 zake. Kama hauna kazi au hela usije ukaoa mwanamke anayekuzidi pesa. Oa wa chini yako. Hawa viumbe siyo