alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,635
- 11,991
Aisee...Ni kweli mkuu hio hali ilishanikutaga kipindi flani sina ramani. Hakuna rangi niliacha kuona hapo mtoto anaenda job na kurudi muhuni naganga njaa mtaani. Siku akijisikia kukuchamba anakuchamba vizuri tu, sometime nilikuwa namzibua ila nachoshukuru tu hakuwahi kuniletea pigo za usaliti maana nahisi tungeuana mjengoni.
Sishauri mtu aanzishe mahusiano serious na mwanamke ikiwa hana shughuli ya kueleweka mjini. Utateseka sure im telling you. Wanawake wana masimango sana wakiwa na nafasi kiuchumi na wepesi sana kujisahau. Ikiwa yeye hana unamfanyia vyote kama binadamu kwa wema na upendo ila wao sasa ni ngumu sana.