Lengo la hili kundi ilikuwa moja, na ilipobainika kuwa kenyatta amepata ushindi wa raundi one baada ya maamuzi ya mahakama ndipo, annan aliporodisha shukrani zake kwa mahakama kuu ya kenya bila kuzingatia wadau walioshiriki katika uchacguzi huo. Jambo hili huenda liliwauma sana kushindwa hata kuwapongeza wakenya kwa kupiga kura kwa amani.
Amani wakenya walioweka wakati wa uchaguzi unapongezwa kwa shughuli za ICC na media ya kimataifa, basi na kule sehemu zingine africa walipochokora na walete amani hiyo.
bure bilashi