Mkapa:
Kwangu issue ya kodi ya Italy ni yao, sisi tulitaka jengo na tulipata.
Hadi nsataafu hakukua na malalamiko toka Wizara ya nje wala yeyote, na nilienda kufungua jengo, sijaambiwa nisijihusishe na hilo jambo, ila imetokea baada ya mimi kustaafu!