Mkapa apanda kizimbani Kisutu

Ndugu,

Akitoka Kisutu ataenda Kanda ya Tabora kutoa ushahidi wa jinsi alivyoshiriki kugawa mahindi siku moja kabla ya kupiga kura za uchaguzi mdogo wa kumtafuta Mbunge wa Igunga.
Baada ya hapo ana kesi ya kumuua baba wa taifa, dah! huyu jamaa ni controversial sana anahangaishwa na tamaa yake ya fisi.
 
mmh?! Kweli hii ni M4C makamanda...., na bado igunga? Kazi kwelikweli!!
 
Mkapa katika kesi hii anamtetea Mahalu.

Nitaambatanisha utetezi wake badae. Kama kuna mdau anao karibu aupandishe
 
Mahalu ni rafiki yake mkapa sana,tangu udsm!huenda hili dili wamekula pamoja
 
Huyu hakupaswa kupanda Mahakamani kutoa ushahidi bali alipaswa kupanda Mahakamani kujibu tuhuma za ufisadi na kufanya biashara akiwa Ikulu.
 
Yule jaji wa kesi TUNDU LISSU alipaswa awe wa kesi hii, MNGESHUHUDIA MZEE MZIMA AKIELEKEA SEGEREA
 
Nikiwa raisi, ntawekeza zaidi kwenye magereza kuliko shule.
Nimegundua, siwezi rudi shule ila naweza enda gerezani.
 
Huyu hakupaswa kupanda Mahakamani kutoa ushahidi bali alipaswa kupanda Mahakamani kujibu tuhuma za ufisadi na kufanya biashara akiwa Ikulu.

Kale kasheria kanakoitwa Katiba kanamlinda yeye kupandishwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…