Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Wote wanatumia E moneyTuige USA waliobarikiwa na Mungu kwa mujibu wa mtu mweusi
Wao wanafanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu naye akajenge madaraja asianze kuchanganya watu bhana!Hakuna sababu ya msafiri kutembea na pesa mkononi, hata wanaopandia njiani ni wakati wa kuwa na pesa kwenye simu, kwa kuwa hatuna uhakika iwapo ugonjwa huu utaeneo hadi kwenye noti, ni lazima kuwa na njia nyingi za udhibiti,”- Waziri wa Ujenzi Isack Kamwelwe.
Ahahaha,naunga mkono hojaTumia commonsense kama uliyotumia kipindi cha nyuma Lema aliposema nanukuu " ni aibu kumpiga mwizi wa kuku na kumuacha Lowassa akidunda mtaani"
Hakuna sababu ya msafiri kutembea na pesa mkononi, hata wanaopandia njiani ni wakati wa kuwa na pesa kwenye simu, kwa kuwa hatuna uhakika iwapo ugonjwa huu utaeneo hadi kwenye noti, ni lazima kuwa na njia nyingi za udhibiti,”- Waziri wa Ujenzi Isack Kamwelwe.
Pia soma> BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti
NOTI HAIEPUKIKIHakuna sababu ya msafiri kutembea na pesa mkononi, hata wanaopandia njiani ni wakati wa kuwa na pesa kwenye simu, kwa kuwa hatuna uhakika iwapo ugonjwa huu utaeneo hadi kwenye noti, ni lazima kuwa na njia nyingi za udhibiti,”- Waziri wa Ujenzi Isack Kamwelwe.
#HATUCHUJI Kwanza TV on Twitter
Wote wanatumia E money