willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,083
- 1,326
Inasikitisha mpaka sasa hivi watu tuliomaliza diploma na GPA zetu kubwa bado guide book haijatoka wakati TCU wametoa guide book na kuaapply washaanza hivo kufanya sisi wa diploma kutokuwahi kozi nzuri kwenye vyuo vizuri.
Kama ni NACTE au TCU ndo wanahusikia diploma tunaomba mfanye haraka jamani na sisi tuapply na tuone guide book yetu
Kama ni NACTE au TCU ndo wanahusikia diploma tunaomba mfanye haraka jamani na sisi tuapply na tuone guide book yetu