Preta usiogope kama chupi ushavua sasa shida iko wapi? au unataka kuoga nini (check avatar yako)
kama nlivyoelewa ni kuwachangia walioathirika na mabom (police brutality) ambao kuna wengi tu hata sio wanachadema, hawa police naskia walikua wanapiga mabom ya machozi ovyo.