Wana wa Taifa la Mungu,
Naomba kama Kuna Truck Driver anayekuja Arusha kutoka Dar, Morogoro Au Tanga naomba aniwekee hapo gunia Moja please .Ni msaada naomba please. .
Asante sana Taifa la mungu,
Kama wewe ni HE unatakaje Mkaa wa bure,au sio ridhiki,yaani mtu akununulie Mkaa,akupakilie kwenye Lori lake kisha aje kukushushia bure?
Wewe utampa nini?
Be serious aisee!!
Kama wewe ni HE unatakaje Mkaa wa bure,au sio ridhiki,yaani mtu akununulie Mkaa,akupakilie kwenye Lori lake kisha aje kukushushia bure?
Wewe utampa nini?
Be serious aisee!!
Wana wa Taifa la Mungu,
Naomba kama Kuna Truck Driver anayekuja Arusha kutoka Dar, Morogoro Au Tanga naomba aniwekee hapo gunia Moja please .Ni msaada naomba please. .
Asante sana Taifa la mungu,
Wana wa Taifa la Mungu,
Naomba kama Kuna Truck Driver anayekuja Arusha kutoka Dar, Morogoro Au Tanga naomba aniwekee hapo gunia Moja please .Ni msaada naomba please. .
Asante sana Taifa la mungu,