Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Si kwamba hakuna amani ipo lakini kuna uvunjifu mkubwa sana wa haki na hivi sasa kumetawala sana hofu kwa wananchi.
Najua watakuhendo vizuri kwa sababu ni mgeni lakini tulio ndani tunajua kinachoelendelea. Ila nikupashe habari kwamba hata hiyo siku ya uchaguzi kutafanyika maandamano makubwa sana ya kuikomboa nchi yetu!
=============
Hali ya ulinzi na usalama nchini inaridhisha licha ya kwamba zimebaki siku chache kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu.
Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 21 na Spika Mstaafu wa Malawi, Richard Msowoya ambaye anaongoza Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa SADC katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania (SEOM) wakati wa ufunguzi wa ujumbe huo jijini Dar es Salaam.
“Unapoingia nchi husika kama Mkuu wa Ujumbe wa Uchaguzi na ukapewa walinzi ishirini suala hilo huashiria mambo hayako sawa. Lakini tangu nimefika Tanzania sijapewa mlinzi yeyote na hakuna aliyetamka neno lolote baya, wala sijasukumwa wala hakuna aliyenizuia kwenda popote. Kwangu hicho ni kiashiria kwamba kuelekea Uchaguzi Mkuu kuna amani nchini humu,” amesema.
Najua watakuhendo vizuri kwa sababu ni mgeni lakini tulio ndani tunajua kinachoelendelea. Ila nikupashe habari kwamba hata hiyo siku ya uchaguzi kutafanyika maandamano makubwa sana ya kuikomboa nchi yetu!
=============
Hali ya ulinzi na usalama nchini inaridhisha licha ya kwamba zimebaki siku chache kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu.
Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 21 na Spika Mstaafu wa Malawi, Richard Msowoya ambaye anaongoza Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa SADC katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania (SEOM) wakati wa ufunguzi wa ujumbe huo jijini Dar es Salaam.
“Unapoingia nchi husika kama Mkuu wa Ujumbe wa Uchaguzi na ukapewa walinzi ishirini suala hilo huashiria mambo hayako sawa. Lakini tangu nimefika Tanzania sijapewa mlinzi yeyote na hakuna aliyetamka neno lolote baya, wala sijasukumwa wala hakuna aliyenizuia kwenda popote. Kwangu hicho ni kiashiria kwamba kuelekea Uchaguzi Mkuu kuna amani nchini humu,” amesema.