Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Martin Saanya ni refa aliyewahi kuchezesha mechi ya Simba vs Yanga ambayo ilileta utata akafungiwa kwa kushindwa kumudu pambano hilo Either kwa kushindwa kutafsiri sheria au mapenzi.
Siku hiyo Martin alikataa Goli la Ajibu clear na kukubari goli la Mkono la Tambwe.
Hakuishia hapo katika mechi hiyo alimpa kadi nyekundu Jonas Mkude kadi ambayo baadaye tff waliibatilisha, ila alikuja kushangazwa na goli la kona la chakaramu Sinza kichuya.
MAAJABU YA JANA MECHI YA YANGA VS RUVU WAZEE WA MPAPASO NOTO.
JANA HUYO HUYO
AJABU.
Yanga walifanya faulo 18 hakuna kadi hata moja.Ruvu walifanya faulo 17 kadi za njano 5.
NB
HUYO NDIYE MARTIN SAANYA ALIYEWANYIMA GOLI LA HALALI RUVU SHOOTING. TUNAOMBA TFF IANZE NA YEYE MARA MOJA ILI WENGINE WAOGOPE
Siku hiyo Martin alikataa Goli la Ajibu clear na kukubari goli la Mkono la Tambwe.
Hakuishia hapo katika mechi hiyo alimpa kadi nyekundu Jonas Mkude kadi ambayo baadaye tff waliibatilisha, ila alikuja kushangazwa na goli la kona la chakaramu Sinza kichuya.
MAAJABU YA JANA MECHI YA YANGA VS RUVU WAZEE WA MPAPASO NOTO.
JANA HUYO HUYO
AJABU.
Yanga walifanya faulo 18 hakuna kadi hata moja.Ruvu walifanya faulo 17 kadi za njano 5.
NB
HUYO NDIYE MARTIN SAANYA ALIYEWANYIMA GOLI LA HALALI RUVU SHOOTING. TUNAOMBA TFF IANZE NA YEYE MARA MOJA ILI WENGINE WAOGOPE