Mjue Lilith ni nani

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mbona kufuri ya zipu langu unayo banaa .. twende tukazungukee
naona saivi kwenye kibox arlet zimekua nyingiii mpaka hatuonekani๐Ÿ˜ช

wew na kama bluetooth tu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… unaconnet tu kama devices ipo on,, mi nitazunguka pekeangu wacha nijitafute kwanzaaa
 
naona saivi kwenye kibox arlet zimekua nyingiii mpaka hatuonekani๐Ÿ˜ช

wew na kama bluetooth tu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… unaconnet tu kama devices ipo on,, mi nitazunguka pekeangu wacha nijitafute kwanzaaa
๐Ÿ˜‚ nalala na biblia ujue jamanii, mzee wa kanisa ni mie.

Kuthibitisha kesho nakupeleka jumuiya ๐Ÿ˜Š
 
uchomwe tu tena nitajitolea kusogeza kuwa kibaraka wa kuchochea kuni na kukoleza moto๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ mbona uta sarendaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

hapo kwenye big screen sasa uwih๐Ÿ˜ช ila najifaham sijawahi kufanya ufirauni wa kuogofya najua tu kutakuwepo na wadhambi zaidi yangu,, na wakwanza ni wew
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ndio tutaona siku hiyoo mambo ya sirini.. kila jambo litawekwa wazi, nitaomba ikifika session yako waongeze sauti na wazoom vizuri screen
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ndio tutaona siku hiyoo mambo ya sirini.. kila jambo litawekwa wazi, nitaomba ikifika session yako waongeze sauti na wazoom vizuri screen
nyau wew nimechekaaaaaaaa nahisi unaweza kunga'ng'ania remote wew uwe unafanya na kurewind ili tu nidharirike๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,,

ikifika zamu yangu tayali wew utakua motoni huwezi kuona kitu,, we ishia tu kunichungulia huku dun-yani
 
nyau wew nimechekaaaaaaaa nahisi unaweza kunga'ng'ania remote wew uwe unafanya na kurewind ili tu nidharirike๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,,

ikifika zamu yangu tayali wew utakua motoni huwezi kuona kitu,, we ishia tu kunichungulia huku dun-yani
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio kushika tu remote, nitaomba ku play slow motion alafu picha iwe 3D 8K au 16K yani hutoboi hapo .

Utaniongoza huko motoni, siwezi kwenda peke yangu nitakusubiri tufatane
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio kushika tu remote, nitaomba ku play slow motion alafu picha iwe 3D 8K au 16K yani hutoboi hapo .

Utaniongoza huko motoni, siwezi kwenda peke yangu nitakusubiri tufatane
binadam m baya wew sijapata kuona looh๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜…

uzuri nishaanza kutubu, huko motoni utaenda pekeako๐Ÿ˜Ž
 
binadam m baya wew sijapata kuona looh๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜…

uzuri nishaanza kutubu, huko motoni utaenda pekeako๐Ÿ˜Ž
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hiyo tutafana, ujue kuna kukata rufaaa eeh
 
Naona tu huu uzi upo kwenye trending kila nikirefresh ikanibidi nije nione humu.

Kuna nini humu mnachoongelea? win-one AYnay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ