Huyo ke co mePunguza wivu bro .bk ndo ilivyo na udongo wake unaokutwa maeneo yote ya ikweta sio moshi pekee na bk ipo
Mm una wivuHahahahaha .. Kutana na kabila linalo iga kila kitu na kulazimisha kutokelezea pembeni ya kabila flani ili tu na wao wazungumzwe hahahahaha... Always Wahaya ni kivuli cha wachaga.. Maana kuwafikia wachaga walipo ni miongo mi3 ijayo.. Yaani ukiangalia hizo picha eti ndio special place watu wameona ndio paku jiachia sikukuu hahahahhaah
Uvaaji ziro, mazingira attraction ziro, watu wametoka vijijin kwa wingi kuja mjini kula sikukuu wanaambiwa eti wamerudi kutoka nje ya mkoa kuja kula sikukui...
Kunatofauti kubwa sana wa wale na nyie... Hahahahha "kivuli kinacho tembea"
Well spoken!!!! At the end nimekuelewaUkiona hivyo ujue ni mpinzani wake, mafahali wawili, huwez linganisha mzaramo na mhaya, au mzaramo na mchanga, saiz ya mchanga ni muhaya ndo mana imekuwa kama watani wa jadi, kielimu kimaendeleo
Kwa nini hawawezi kuwa wanakwaya ya shule Fulani mfano bakhita ya hapa bk
Fuatilia kwanza mavazi ya wanaojifunza vi course vidogo hapo Bakhita af uje tuendelee na mjadala.....Kwa nini hawawezi kuwa wanakwaya ya shule Fulani mfano bakhita ya hapa bk
Naona watu wa Bukoba mnapambana sana kushindana na watu wa Moshi, naona na nyie mnaenda sana homu disemba siku hizi..Tumewazidi wa wachaga naona
Nyie mtakua mnapamba vituo vya treni mkuuNawashangaa watu wasiojua kwamba wahaya ni watu wanaoheshimu "roots" kwa kiwango kikubwa! Wahaya huwa hawaendi kupamba magazeti Ubungo stendi kwenye mabasi na kujaza sumatra na trafic kama wachagga!
Ivi na wewe wa huko?Mbona ni kawaida yao jamani sema mtasema ni misifa lkn Huu utamaduni wa kurudi home upo tangu nimekuwepo nisemee
Ndo maana mwanaume huku akioa kabila lingine anaonekana amepotea maana kurudi kwao itakuwa ni mbinde
Sema neno na roho yako itatuliaIvi na wewe wa huko?
Nnavyokupendaga kimyakimya,
Mapigo ya moyo yameongezeka aisee,
Ngoja nkaondoe aibu kwanza ntarudi nkuambie kitu kapeace
Ngoja niondoe aibu kwanza ntarudi.....Sema neno na roho yako itatulia
Mh asbh yote hiiNgoja niondoe aibu kwanza ntarudi.....