MKUU Hii picha imepigwa kwa mbali na hakika mimi niliwahi kukatiza hapo mtaani kwake kwa kweli ni kufuru,hii nyumba huwezi kuamini imejengwa na mtumishi wa sirikali anayepangiwa mshahara,ni hatari sana na hapa kina ufisadi wa kutisha.6 hafai hata uenyekiti wa kitongoji.
Habari wana JF,
Ebu angalia mjengo wa ajabu wa kutisha anaomiliki Mh. wa Viwango na Speed,Mjengo upo Mbweni 2km from Ndege Beach,Mjengo upo kwenye kiwanja cha sqm 3000,Ukuta wake na garden ni kufuru,Nimeshindwa kuweka,kwa sababu za kiusalama,Kuna HD CCTV Camera with Night Vision,StandBy Generator 20KvA,Tumemkabidhi kuendesha muimili wa Dodoma kafanya haya,Je tukimkabidhi aendeshe muimili wa Magogoni si itakuwa balaa?
View attachment 248668
View attachment 248670
BR,
The Cat.
Ni kweli kwa juhudi mtu anaweza kujenga jengo zuri tu. Vile vile ni haki Mh Sitta kujejnga jengo lenye hadhi au mtumishi mwingine ye yote.Mbona kuna wachagga wengi sana wako serikalini wananyumba zaidi ya hiyo? Ni vitu vya kawaida. Huwezi kukuta mchagga anategemea mshahara tu peke yake......Anafuga mifugo, mashamba, biashara nk. Kwa kuwa Sitta ni mnyamwezi hamuamini kuwa anaweza kuwa na biashara zingine?
Huyo mchaga ni muhindi? Mbona kuna mdau amesema anakaa mhindi? Kama ni ya mchaga halafu ni rafiki yake nenda kapige picha ya mbele ndio tutaamini kweli siyo ya sita ni ya mchaga.
duh. kweli chukuwa chako mapema
Nmekuja spidi nikijua ni bonge la hekalu.!
Haijafikia hata robo ya mjengo wa Mwamvita.
Hakika kabisa Lowasa anazohamsini kama hizo.Haikuti mahekalu ya Lowassa! Manake ni mengi! Kama Sitta hafai kwa kimiliki kagorofa kamoja mbweni Lowassa ni wa kikimbiza kabisa!
Weee ! unasema kweli mkuu ? lakini huyu si wanasema ana utajiri wa ng'ombe 8000 ( miaka yote hawapungui wala hawaongezeki ! )Haikuti mahekalu ya Lowassa! Manake ni mengi! Kama Sitta hafai kwa kimiliki kagorofa kamoja mbweni Lowassa ni wa kikimbiza kabisa!
sita alitafutia wapi mkuu na mimi niende nikabahatishe ?Mleta mada anaonekana hajatembea ajionee Nyumba ndani ya nchi yake. Tulia tafuta pesa kwa bidii