Mjadala wa wa bajeti 2011/2012 - ITV

Mjadala huo umeandaliwa na TCD Kituo cha Demokrasia Tanzania ambacho kwa sasa kinaongozwa na Mwenyekiti Lipumba na Makamu wake ni Mbatia.
 
Anasema kuna maeneo anaweza kutofautiana na prof Lipumba,
Anasema prof Lipumba amepenyeza mambo ya kisiasa kidogo kwenye mada yake
 
Huyu jamaa haeleweki....ameanza na kuifafanua vision 2025, sasa hachambui vision wala bajeti. Anaongea kama kada mzoefu wa chama tawala...au ndo aliyeandaa hii bajeti??? maanaake utetezi wake ni zaidi ya ule anaoweza kuutoa Mkulo
 
Huyu jamaa haeleweki....ameanza na kuifafanua vision 2025, sasa hachambui vision wala bajeti. Anaongea kama kada mzoefu wa chama tawala...au ndo aliyeandaa hii bajeti??? maanaake utetezi wake ni zaidi ya ule anaoweza kuutoa Mkulo
Mbona anaongea kama mtetezi wa serikali?....mara anafagilia bajaji za wajawazito, mara kilimo kwanza, mara uongozi hata haeleweki huyu
 
Huyu Dr amemaliza, sijamwelewa kabisa mada yake....sasa ni michango from the floor
 
Mchangiaji wa kwanza naona kamponda dr kiaina kuwa hiyo sio bajeti bali ni political document
 
Mchangiaji wa kwanza naona kamponda dr kiaina kuwa hiyo sio bajeti bali ni political document

Dr amejidhalilisha hajaweza kutoa mchango wake kitakwimu, jinsi bajeti ya mwaka huu inavyochangia utekelezaji wa vision 2025. wachangiaji wanaendelea tu kumponda
 
Kuna yule Mama aliyesema kuwa Wazungumzaji wanamchanganya tu na hizo Trilioni wanazozitaja taja wanapoongea na hawaelewi kwani hajui hela zaidi ya Laki Mbili tu!!
 
Kwa mtizamo wangu niloliona watz wamechoka usanii wa sirikal juu mipango ya kuondoka umaskini,pia hata bajet yeye haina la msingi zaidi ya matumizi mabaya mali za umma.
Mimi naona tuamke usingizin ili tulikomboe taifa hata kama pana uwezekano yafanyike maandamano kuipinga.
Je,wanaJF waonaje?
 
Back
Top Bottom